tanken
JF-Expert Member
- Apr 9, 2014
- 224
- 53
Wana JF,
Naomba tujadili hili kwasababu KURA zote za urais zitajumulishwa kwa kutumia aina ya software spesheli. Sielewi kuwa software hufanya kazi vipi, je,
Software yenyewe ni ya kwetu au kutoka NJE?
Wawakilishi wa vyama wameshirikishwa katika uamuzi wa kutumia aina ya software?
Usalama wa software unalindwa vipi?
Naomba tujadili hili kwasababu KURA zote za urais zitajumulishwa kwa kutumia aina ya software spesheli. Sielewi kuwa software hufanya kazi vipi, je,
Software yenyewe ni ya kwetu au kutoka NJE?
Wawakilishi wa vyama wameshirikishwa katika uamuzi wa kutumia aina ya software?
Usalama wa software unalindwa vipi?