If you think software is a different creature in comparison with hardware, no explanation would satisfy you. Think software like a sequence of electric charges. All the code that you write would get stored as sequence of electrical charges either on RAM or disk. So you are NOT writing text but the sequence of electric charges. Your video card is drawing the stuff on the monitor in English to help you to understand what you are typing. In one way, perhaps truly, whatever you do on the computer is physical. Cheki iii mkuu nimeitoa stake. How does Software/Code actually communicate with Hardware?
Yaani ni vurugu zaidi. Humo kwenye kernel kuna codes kama 15 million.
SWALI NI HIZO CODES NA VISWICHI VYA ON NA OFF VINAELEWANA VIPI.
Wengi mliojibu hapa mmejibu kama hao jamaa wa Youtube. Mmejibu mkichukulia mimi sijui computer. Nina degree ya IT kwenye database.
Hili swali ninalouliza ni kama kuuliza Mungu kakaa wapi. Ni swali ambalo waliopo katika fani hii wanaweza kupata idea za kugundua kitu kipya.
If you think software is a different creature in comparison with hardware, no explanation would satisfy you. Think software like a sequence of electric charges. All the code that you write would get stored as sequence of electrical charges either on RAM or disk. So you are NOT writing text but the sequence of electric charges. Your video card is drawing the stuff on the monitor in English to help you to understand what you are typing. In one way, perhaps truly, whatever you do on the computer is physical. Cheki iii mkuu nimeitoa stake. How does Software/Code actually communicate with Hardware?
Sent using Jamii Forums mobile app
yapMmmh mbona ni kitu rahisi sana. Ni arrangement za wire na logic gates and when switched on they can do on n off in such a way they do some thing useful.
Sent using Jamii Forums mobile app
Very simple. Ila kama huna ABC za elecronics hasa upande wa Logic na signals huwez elewa. Ila ni vitu vigumu lakini vinaeleweka
Sent using Jamii Forums mobile app
Operating system bado nayo ni softwareKinachounganisha software na hardware ni Operating system.
Usidumaze ubongo wako mzee. Any thing that has been made, has formulars and theories embeded on it and majority understand them. In not a matter to make yours but to understand how it works.Wewe unayeelewa umejibu nini?
Usidumaze ubongo wako mzee. Any thing that has been made, has formulars and theories embeded on it and majority understand them. In not a matter to make yours but to understand how it works.
Sasa ww nikikuuliza unajua Pumb ya baiskel inavyo fanya kazi obviously jibu ni yes na ni very simple operation and logic. Sasa kama mtu atataka utengeneze yako ndoo aamin that is a fuc*ing damn
Sent using Jamii Forums mobile app