Sasa hata kama mteja ni mfalme hapo umepitiliza,yaani sofa utake wewe ,fundi aende kwenye hotel Bahari Beach akaangalie halafu ndio akupigie simu,kwani hayo yote usiyafanye mwenyewe,kwani fundiatajuaje kama aina hiyo ya sofandiounayoitaka kwani pale kuna sofa aina nyingi ati