Sofa nzuri, Imara kwa bei ya wastani

Malikauli

Senior Member
Mar 3, 2012
147
113
Za asubuhi ya leo Waungwana,natafuta sofa imara na comfortable hapa DSM kwa reasonable price (something btn 1 to 1.5 M) kwa wenye uzoefu tuelekezane kwa kwenda Natanguliza shukrani.
 

Attachments

  • 1387523527479.jpg
    1387523527479.jpg
    69.4 KB · Views: 486
  • 1387523676974.jpg
    1387523676974.jpg
    46.8 KB · Views: 532
Bei ni nafuu sana,tembelea ofisini kwetu sinza katikati ya kwa remmy na makaburini.
 

Attachments

  • 1387523760439.jpg
    1387523760439.jpg
    128.5 KB · Views: 441
  • 1387523797262.jpg
    1387523797262.jpg
    80.4 KB · Views: 472
  • 1387523822254.jpg
    1387523822254.jpg
    80 KB · Views: 372
  • 1387523856751.jpg
    1387523856751.jpg
    60.4 KB · Views: 343
  • 1387523886900.jpg
    1387523886900.jpg
    80 KB · Views: 535
Mambo vp? kuna sofa niliona Ledger plaza Bahari Beach Hotel, kaangalie kma unaweza kunitengenezea uni PM

Sasa hata kama mteja ni mfalme hapo umepitiliza,yaani sofa utake wewe ,fundi aende kwenye hotel Bahari Beach akaangalie halafu ndio akupigie simu,kwani hayo yote usiyafanye mwenyewe,kwani fundiatajuaje kama aina hiyo ya sofandiounayoitaka kwani pale kuna sofa aina nyingi ati
 
Sasa hata kama mteja ni mfalme hapo umepitiliza,yaani sofa utake wewe ,fundi aende kwenye hotel Bahari Beach akaangalie halafu ndio akupigie simu,kwani hayo yote usiyafanye mwenyewe,kwani fundiatajuaje kama aina hiyo ya sofandiounayoitaka kwani pale kuna sofa aina nyingi ati
Kwani wewe fundi??
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom