Soda za Coca Cola haziko sawa

Soda za Coca Cola haziko sawa

Unazungumzia Coca cola zipi? Coca diet, Coca zero au regular Coca?

Na Fanta unaongelea Fanta IPI? Fanta orange? Fanta passion? Fanta tropical? Au ipi?

Be specific.
Hivi kuna tofauti kati ya coca diet na coca zero?
 
Hii inaenda kwa mkemia mkuu wa serikali. Na nitaianzishia uzi

kwanini soda za fanta orange zinaacha alama za unjano/orange kwenye ulimi tofauti na fanta za zamani?

mnawanywesha nini watanzani? Mamlaka hazijabaini hilo?

soda kama umelamba food color!!!
Kuna matatizo kwenye hiyo kampuni

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Maji yapo sema kapuni shindani za maji zimekua nyingi sn siku hizi
tatizo bei yake ipo juu kidogo ila maji ya kilimanjaro ni quality sana ukinywa unahisi umekunywa maji kwelikweli kwakua p.H yake ni 7 ila maji ya makumpuni mengine yanakuwa na p.h < OR > 7 hivyo yanakua nakauchungu flani hivi kwambali sana unakahisi sema wanapata wateja kwakua wanaweka maji mengi halafu wanashusha bei
 
Hii inaenda kwa mkemia mkuu wa serikali. Na nitaianzishia uzi

kwanini soda za fanta orange zinaacha alama za unjano/orange kwenye ulimi tofauti na fanta za zamani?
K
mnawanywesha nini watanzani? Mamlaka hazijabaini hilo?

soda kama umelamba food color!!!
Kuhusu suala la rangi usisahau kuambatanisha na sample ya mirinda nyeusi maana hii inakua kero mdomoni. Inaitwa mirinda nyeusi lakini mdomoni inaonekana rangi nyekundu
 
Coca nowdays wana 500Ml najua ni Pepsi tu, Anyway Coca ya sikuhizi hapana kwakweli wanazingua
Wauza soda kuna muda tunaonekana mbinu juz kat nimechukua crate kadhaa nafka shop nakuta zmelegea vifuniko yaan unaweza fungua kwa mkono tu
 
Fanta inanoga kama zile Fanta za Zambia niliwahi iacha sehemu nikidhani imeharibika nikaja kujaribu maeneo mengine nikakutana na radha kama ile niliyoiacha nikagundua hawa ni tatizo ingawaje nakunywa soda mara chache sana ila hizo Fanta hazipo sawa kabisa...
Nilijua mdomo wangu umepoteza radha kila Fanta nayokunywa siielewi adi nikaamua kuachana nazo
 
Back
Top Bottom