taginyambi
Member
- Oct 6, 2012
- 28
- 12
Acheni upuuzi ingekuwa sumu matumbo yangekuwa yamechanika na makoromeo yametoboka ,ukitaka I we hivyo usipsnde Gari,usinywe /kula chochote cha kusindikwa kiwandani Hata maji sasa sijui utaishi dunia gani maana Hata nguo ulizovaaa naxo zina sumu

