popbwinyo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 4,986
- 3,622
Soda ni zaidi ya pombe,au kwa urahisi kabisa,SODA NI SUMU TAMU NA POMBE NI SUMU CHUNGU
Maana haina hata faida moja ya kiafya tofauti na pombe kwa kiasi ina faida Fulani kwa mwili na akili
Soda ni zaidi ya pombe,au kwa urahisi kabisa,SODA NI SUMU TAMU NA POMBE NI SUMU CHUNGU
Siyo kila anaesema jambo juu ya afya ya ulaji na unywaji ni msabato,Nyie wasabato tumeshawachoka na mambo yenu,kila kitu nyinyi kwenu ni sumu.
Soda ni sumu unamanisha nn mkuu?Habari zenu ndugu zangu
Niende moja kwa moja kwenye dukuduku langu... ni kuhusu kinywaji cha (aina ya) soda ambacho wataalamu wengi wa afya (kama sio wote) wamekifafanua sana kwamba ni hatari kwa afya na ni sumu inayoua polepole.
Sasa cha ajabu ni kwamba hapa kwetu (nchini) kinywaji hiki kimekuwa kikitumiwa (kuuzwa na kunywewa) bila hata ya tahadhari wala miongozo yoyote.
Cha ajabu zaidi na kushangaza kama sio kusikitisha ni pale ambapo Mkuu wa kitengo kinachohusika na maswala hayo (ya vyakula na madawa) yaani TFDA alipoulizwa kuhusu jambo hilo na akatoa majibu mepesi na hoja tepetepe kabisa.
>>>alijibu soda sio kinywaji hatari kwakuwa kinatumiwa na watu wengi duniani.
Wananchi huwa tunapokea maelekezo kwa wataalam kutoka mamlaka husika Sasa je kwa hali hii tutategemea tuna mamlaka imara ya kutulinda wananchi kweli dhidi ya afya zetu?, mana hiyo ni soda tu je na vingine (ambavyo huenda tunatumia na wao wapo kimya)
Nimeshindwa kuweka link hapo lakini nimesoma kwenye Muungwana anayeweza anisaidie tafadhali
Nani amekuambia..au maneno ya vijiweniKuna soda zinaitwa MO Passion and MO Orange nasikia zimepigwa Marufuku kuuzwa kutokana na kuwa na ubora wa chini na kuwa na sukari ina kemikali nayozidi kiwango
Mbona hukuweka hayo maelezo hapa. Hizo majaribio zenu za kunyapia nyapia youtube. Haya tuuzie dawa.Aisee upo nyuma kweli,kwa aina ya maswali unayouliza,
Ulipaswa kuuliza ni vitu gani ndani ya soda vinaifanya kuwa sumu,na vinaudhuru mwili kivipi tena kwa ushahidi wa kisayansi,
Siyo hilo swali za vijiweni ulilouliza,



soda ni sumu inayoua taratibu sawa
kwani nani anataka kufa haraka ?
wanaotaka kufa haraka watakunywa sumu ya panya ila sisi ambao hatutaki kufa haraka tutakunywa soda

unayumba bi shosti
Haina madhara tena ni tibabange nayo inatumiwa na weng VP haina madhara?
Mitaka taka wayumba weweunayumba bi shosti
unachukulia unaniweza au sio ?Mitaka taka wayumba wewe
soda ni sumu inayoua taratibu sawa
kwani nani anataka kufa haraka ?
wanaotaka kufa haraka watakunywa sumu ya panya ila sisi ambao hatutaki kufa haraka tutakunywa soda






aiseeeeSana tuunachukulia unaniweza au sio ?