Cha ajabu zaidi na kushangaza kama sio kusikitisha ni pale ambapo Mkuu wa kitengo kinachohusika na maswala hayo (ya vyakula na madawa) yaani TFDA alipoulizwa kuhusu jambo hilo na akatoa majibu mepesi na hoja tepetepe kabisa.
>>>alijibu soda sio kinywaji hatari kwakuwa kinatumiwa na watu wengi duniani.
HAPANA MKUU!!
MWISHO WA KISUKARI SI KIFO BALI MWISHO WA MAISHA NDIO KIFO
Acha dharau kijana au kwasababu ww hautumii nani kasema sigara haina faida hata moja moja ya faida ya sigara ni kuupa Mwili Joto hasa kipindi cha baridi na haka kamvua mvua kanakonyesha.....Soda ni km sigara,hakuna faida hata moja
Issue sio kulazimishwa bali kuna wengine hawatambui kabisa sasa watatambuaje.Mkuu,
Hakuna akulazimishaye kunywa soda.
Ukitambua kuwa soda ni sumu acha kunywa.
Just take a decision which is simple and clear.
Mkuu tunajadili SODA.bange nayo inatumiwa na weng VP haina madhara?
Kasema anasikiaNani amekuambia..au maneno ya vijiweni
Km unajua kila kila MTU kila kitu anapata YouTube nenda na ww ukapate hukoMbona hukuweka hayo maelezo hapa. Hizo majaribio zenu za kunyapia nyapia youtube. Haya tuuzie dawa.
PoleAcha dharau kijana au kwasababu ww hautumii nani kasema sigara haina faida hata moja moja ya faida ya sigara ni kuupa Mwili Joto hasa kipindi cha baridi na haka kamvua mvua kanakonyesha.....
Nimesoma kwenye Muungwana Blog na imeandikwa hivyohivyo kuwa "soda ni sumu"Anayeweza akusaidie link ya nini, TFDA wakisema soda sio sumu au wataalam wanaoonyesha kwamba soda ni sumu?
Katika masuala ya uthibitisho na migongano ya hoja yule anaesema kitu chanya ndio anadaiwa proof. Ukisema soda ni sumu wewe ndio thibitisha. Mimi nikisema Mungu hayupo siwezi kudaiwa uthibitisho kwa sababu hayupo, nitam prove vipi?
Sasa wewe tueleze umesikia wapi kwamba soda ni sumu, na ni sumu gani, na inafanyaje kazi mwilini, biochemically.
Sidhani kama nimeonesha kutaka ipigwe marufuku.Sometimes tuache lalamika ovyo tufanye kazi!... sasa unaifungulia soda thread ipigwe marufuku je sigara na pombe hujaona madhara yake ya haraka zaidi!?..Kila kitu kina madhara hata maji ELIMU ELIMU!!..
Mi namjua dogo mmoja alikufa kwa sababu ya soda alienda kuiba soda wakamkamata wakampiga hadi akafaacha nifurah tu.
Samahan mkuu kuna mtu unamjua ameshakufa kwa sababu ya soda.?
Ulikua unamaanisha nini kwenye hizi sentensi zako?.Sidhani kama nimeonesha kutaka ipigwe marufuku.
Majibu gani mazito ulitaka ayatoe Mkuu wa TFDA kwamba soda ni hatari msiitumie!!.Cha ajabu zaidi na kushangaza kama sio kusikitisha ni pale ambapo Mkuu wa kitengo kinachohusika na maswala hayo (ya vyakula na madawa) yaani TFDA alipoulizwa kuhusu jambo hilo na akatoa majibu mepesi na hoja tepetepe kabisa.
Hili jibu lilijitosheleza sio kinywaji hatari yeah hata WHO wanakiweka kwenye uhatari only when in high consumptions.>>>alijibu soda sio kinywaji hatari kwakuwa kinatumiwa na watu wengi duniani.
Ukaishia lalamika falacy zisizo na maana bila toa way forward!.Wananchi huwa tunapokea maelekezo kwa wataalam kutoka mamlaka husika Sasa je kwa hali hii tutategemea tuna mamlaka imara ya kutulinda wananchi kweli dhidi ya afya zetu?, mana hiyo ni soda tu je na vingine (ambavyo huenda tunatumia na wao wapo kimya)
Heeeh huwajui wasomibwa TZ watakwambia hata mkeo au mmeo ni sumu!Habari zenu ndugu zangu
Niende moja kwa moja kwenye dukuduku langu... ni kuhusu kinywaji cha (aina ya) soda ambacho wataalamu wengi wa afya (kama sio wote) wamekifafanua sana kwamba ni hatari kwa afya na ni sumu inayoua polepole.
Sasa cha ajabu ni kwamba hapa kwetu (nchini) kinywaji hiki kimekuwa kikitumiwa (kuuzwa na kunywewa) bila hata ya tahadhari wala miongozo yoyote.
Cha ajabu zaidi na kushangaza kama sio kusikitisha ni pale ambapo Mkuu wa kitengo kinachohusika na maswala hayo (ya vyakula na madawa) yaani TFDA alipoulizwa kuhusu jambo hilo na akatoa majibu mepesi na hoja tepetepe kabisa.
>>>alijibu soda sio kinywaji hatari kwakuwa kinatumiwa na watu wengi duniani.
Wananchi huwa tunapokea maelekezo kwa wataalam kutoka mamlaka husika Sasa je kwa hali hii tutategemea tuna mamlaka imara ya kutulinda wananchi kweli dhidi ya afya zetu?, mana hiyo ni soda tu je na vingine (ambavyo huenda tunatumia na wao wapo kimya)
Nimeshindwa kuweka link hapo lakini nimesoma kwenye Muungwana anayeweza anisaidie tafadhali