Soda ni Sumu; Je, TFDA wanafanya nini?

Soda ni Sumu; Je, TFDA wanafanya nini?

Ha ha ha, we jamaa unastahili kuwa mtalaamu pale TFDA
Msabato unampeleka kuwa mtaalam TFDA kwa kuwa kasoma vitabu vya Hellen white ambavyo hakuna hata kimoja kinatumika medical school
 
100% utakua either umetumwa na kampuni yoyote ya Breweries.Kama c Serengeti ni TBL ama wale wa pale Ubungo wazee wa CHIBUKU...
Ahsante
Usininasibishe na huko kabisa maana sikuwataja mimi hao
 
nchi za kiarabu ndio wanajua madhara ya SODA vizuri, huku ukiwaambia watu watakuona mwehu tu....
Uarabu IPI unayoongea kusiko na soda? Kule ziko hadi Pepsi za vending machines acha uongo huo uongo alikufunfisha nani?
 
soda ni sumu inayoua taratibu sawa
kwani nani anataka kufa haraka ?

wanaotaka kufa haraka watakunywa sumu ya panya ila sisi ambao hatutaki kufa haraka tutakunywa soda
Nimechaka mpaka basi, we jamaa cartoon sana.
 
nchi za kiarabu ndio wanajua madhara ya SODA vizuri, huku ukiwaambia watu watakuona mwehu tu....
Acha uongo kule kuna maviwanda makubwa ya soda na wanywa sana.Google andika Pepsi Saudi Arabia uone huo uongo uliokubuhu.Huo uongo mnaofundishana Ndani ya makanisa ya sabato bila uthibitisho mtapotea.MTU anaibuka tu waarabu hawanywi soda watu wanaitika ameeeni.Aisee poleni
 
Acha uongo kule kuna maviwanda makubwa ya soda na wanywa sana.Google andika Pepsi Saudi Arabia uone huo uongo uliokubuhu.Huo uongo mnaofundishana Ndani ya makanisa ya sabato bila uthibitisho mtapotea.MTU anaibuka tu waarabu hawanywi soda watu wanaitika ameeeni.Aisee poleni
Wewe ndo mwongo mkubwa. Kwani ni nani aliyesema Uarabuni hawanywi soda au hakuna hivyo viwanda vya soda?
 
Back
Top Bottom