Socialphobia, anxiety, depression, panic attack inaniua taratibu! Msaada

Njia za kutatua hilo tatizo ndio utata unapokuja. Inshort sijui ni mtu gani sahihi wa kumueleza matatizo yangu akanielewa na kutunza privacy yangu maana wengi wao siwaamini. Najihisi ni mtu wa ajabu kuwahi kutokea duniani.
Kanisani ndo sehemu sahihi,utapenda mwenyewe ,yaan ni maneno ya baraka tu utakua ukiambiwa mpaka utajipenda mpaka bas,imba kwaya,yaan kuimba kinarelease pain yaan jiulize kwa nin wasouth Africa walikua wanapenda Sana kuimba katikat ya mateso,sababu ndo hiyo ,utaambiwa ww ni wathaman Sana,km una karama yoyote lazima mtumish ataiona iwe kuimba au kuombea watu yaan kanisan kila kitu
 
Kanisani ndo sehemu sahihi,utapenda mwenyewe ,yaan ni maneno ya baraka tu utakua ukiambiwa mpaka utajipenda mpaka bas,imba kwaya,yaan kuimba kinarelease pain yaan jiulize kwa nin wasouth Africa walikua wanapenda Sana kuimba katikat ya mateso,sababu ndo hiyo ,utaambiwa ww ni wathaman Sana,km una karama yoyote lazima mtumish ataiona iwe kuimba au kuombea watu yaan kanisan kila kitu
umemaliza kila kitu, sema kanisa lenye neema ya kinabii ni zuri zaidi, na linaloamini katika kukuza karama na vipawa
 
Unapokua getto kuna vitu hua unaangalia/penda...mfano movie,music or mpira...km kuna kimojawapo unapenda mfano mpira toka nenda either uwanjani or sehemu wanazoonyesha mpira ...baada ya muda utatengeneza marafiki wapya hapo ndio utapata chances zakuongea what your facing and sometimes hutasema bali ilehali yakutojichangaya itaanza ondoka yenyewe.
 
Mwenzio nimezoea ikinijia hio hali nasikiliza zangu mziki kwa sauti kubwa sana baada ya muda inatulia naendelea na yangu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom