pretta360
JF-Expert Member
- Jul 15, 2020
- 625
- 972
Kanisani ndo sehemu sahihi,utapenda mwenyewe ,yaan ni maneno ya baraka tu utakua ukiambiwa mpaka utajipenda mpaka bas,imba kwaya,yaan kuimba kinarelease pain yaan jiulize kwa nin wasouth Africa walikua wanapenda Sana kuimba katikat ya mateso,sababu ndo hiyo ,utaambiwa ww ni wathaman Sana,km una karama yoyote lazima mtumish ataiona iwe kuimba au kuombea watu yaan kanisan kila kituNjia za kutatua hilo tatizo ndio utata unapokuja. Inshort sijui ni mtu gani sahihi wa kumueleza matatizo yangu akanielewa na kutunza privacy yangu maana wengi wao siwaamini. Najihisi ni mtu wa ajabu kuwahi kutokea duniani.