GUSSIE
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 3,866
- 11,100
Wanabodi, Kila mtu ana Imani yake, Hapa ni picha jinsi vatikani walivyotekeleza suala la kukaa mbali Kati ya mtu na mtu angalau mita moja wakati wa misa ya ijumaa kuu.
Ibada zinazoendelea kwa sasa makanisani zinatisha sana watu bado wanakaa karibu kwa hapa Tanzania.
Kuna watu wanavikohozi na wanakohoa makanisani hakuna anayejali kwa sasa.
Uingereza wao week hii yote serikali inatoa machozi na kuwapigia wananchi magoti wasitoke ndani wakati wa Pasaka wanatumia hashtag #stay home this Easter #
Ibada zinazoendelea kwa sasa makanisani zinatisha sana watu bado wanakaa karibu kwa hapa Tanzania.
Kuna watu wanavikohozi na wanakohoa makanisani hakuna anayejali kwa sasa.
Uingereza wao week hii yote serikali inatoa machozi na kuwapigia wananchi magoti wasitoke ndani wakati wa Pasaka wanatumia hashtag #stay home this Easter #