Jamaa wamepanda juu ya yutong wakiteleza[emoji460] champions celebration [emoji460]View attachment 2113824
Biki la dunia kama sio ulimwengu
Naona baunsa Gabaski anataka kufuata nyayo zakeEssam El-Hadary
Drogba mwenyewe alikiri na akampigia saluti huyu jamaa kuwa ni mgumu kumfunga.
Huyu mwamba ameshinda cup of nations mara 4 akiwa na misri mtu mbadi pale langoni.View attachment 2111910View attachment 2111911
Karibu Africa sisi ndiyo sisi [emoji1787][emoji1787]Jamaa wamepanda juu ya yutong wakiteleza
Africa kwakweli[emoji2297][emoji2297][emoji2297] wenzeo sherehe kama hio wana bus maalum
Kila kitu sio cha kuiga alaf wazungu wako zao ndani wanachungulia kwenye kioo kocha juu ya body [emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]