So......Will You????

 
Unajua jamaa anazo nyingi sana sasa hadi anasahau ni ipi huwa ananituma kwake kupeleka matumizi naona anaanza kufikiria labda nimeishajimilikisha


Wewe huaminiki
Bora ukipewa pesa utafikisha salama ila sio kutumwa kwa mwanamke utaelezea mpaka shida za kikojoleo chako
 

Shem uwalakini gani tena?
Unajua kiswahili hakina longolongo...lol


Mie kukwepa tu kujikoroga... nawa quote... Yoote hii sitaki hommie wenu asome hapa....lol

Asee.....
Kwamba hujui pete ya uchumba.....hukuchumbia hommie?
Sore kwa kuwaingilia....

Muangalie shem wangu muharibufu hapa chini....

Hope hujamaanisha "kimaumbile"

Otherwise: Thread Closed!!

:smash::smash::smash:.

Thus my kukuomba taratiiiibu... Usim-support ODM....lol... Sasa hapo tell me shemeji yangu kuna longo longo ya uelewa hapo?? lol
 


Wewe shem hujaelewa....ODM aliklarifai tu pale......au wewe unadhani sentensi yangu ilikua nusu? lol
Am out.....kabaila asijenikuta hapa.....
 
Unajua jamaa anazo nyingi sana sasa hadi anasahau ni ipi huwa ananituma kwake kupeleka matumizi naona anaanza kufikiria labda nimeishajimilikisha

:washing: iffy!!! iffy!!! iffy!! lol

Ashadii nimekosea kumbe hata kubwa hana kabisa
Aache basi kutembelea club kupata wa kumliwaza kwa weekend

TF bahati mbaya leo nina miadi nae naenda peke yangu sitaki mshirika
Nilikupa cake kipindi kile hukufikisha bana

Mimi hapa niko kuwasoma tu hapa.... Maana na wewe ushaingia list ya PA ya maneno kusema kinyume ya maana. lol
 
Shem, hope hujamaanisha "wa mazingira"

Otherwise: Discusion Closed!!

:smash::smash::smash:
 
Wewe shem hujaelewa....ODM aliklarifai tu pale......au wewe unadhani sentensi yangu ilikua nusu? lol
Am out.....kabaila asijenikuta hapa.....

Shem, hope hujamaanisha "wa mazingira"

Otherwise: Discusion Closed!!

:smash::smash::smash:



Hapa sipiti tena.... naona nachemka tu....
 
:washing: iffy!!! iffy!!! iffy!! lol



Mimi hapa niko kuwasoma tu hapa.... Maana na wewe ushaingia list ya PA ya maneno kusema kinyume ya maana. lol


AshaDii umeniweka kunfi moja na PA
hapana bana mimi niko tofauti kabisa kabisa na PA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…