Blaki Womani
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 11,228
- 13,448
PA acha huyu mzee anataka kumiliki hadi na mizizi
kwa mjadala huo hapo nchini mvua itanyesha kweli
Ukipiga punyeto ukiwa umevaa kondom ni zambi?
Kama mkono una ukimwi na kikojoleo hakina, mkono unaweza kuambukiza kikojoleo ukimwi wakati wa kitendo cha kujijamii mwenyewe?
Ngoja nimtafute MR. Rocky halafu nitarudi kutoa comment
Hahaha!!! Ama kweli......." Mshale hautafutwi msituni"kwa mjadala huo hapo nchini mvua itanyesha kweli
Ukipiga punyeto ukiwa umevaa kondom ni zambi?
Kama mkono una ukimwi na kikojoleo hakina, mkono unaweza kuambukiza kikojoleo ukimwi wakati wa kitendo cha kujijamii mwenyewe?
This post has made my day... Khaaa!!! lol
Mambo yameishaharibika hapa sasa
Mimi najali sana muulize AshaDii tena ya kwangu nitachukua ushauri wa AshaDii ufito wake unakuwa na rangi ya GoldDA huyu jamaa sijui anakoelekea maana dakika kumi zijazo atavaa matambara kwishachanganyikiwa
Alafu ndo maana alikimbizwa alikoenda kuposa badala ya kutoa pete katoa hiyo makitu wakwe wakamkimbiza mbaya
Hahaha!!! Ama kweli......." Mshale hautafutwi msituni"
Kumbe siko mimi peke yangu ninayeujua ukabaila wake...lolUmeona eee
AD huyu babu ni utata mtupu kaaaah
Mimi najali sana muulize AshaDii tena ya kwangu nitachukua ushauri wa AshaDii ufito wake unakuwa na rangi ya Gold
Mie nafikir sometimes mpaka hajielewi... kama hivi leo, nina wasi kama yupo in his right mind....lol
Well said my son!Kwani wakwe wanajua tofauti ya hiyo makitu hata ikiw ana ufito wa gold
Afu hujamjibu Babu hivi ukipiga ile makitu ile kwani unatumia hizi zana
Kumbe siko mimi peke yangu ninayeujua ukabaila wake...lol