pumzihaiuzwi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2015
- 3,273
- 3,091
Uzuri hawa jamaa hesabu fizikia au niseme science nchi zao ni kipaumbele
Wauaji wa Kibiti always ni "Watu Wasiojulikana", na wakiua always hua wanaelekea "Kusikojulikana",Yupo kibiti?
Wapo wengi mpaka hifadhi za taifaSie tunae wetu Makame mbona yupo vzr tu ni vile hatuna mahali pa kufanyia
SidhaniTz hiyo chuma ipo kweli?
Mjinga huyo achana nae.Matangazo yamefikaje hapo tena mkuu, nisingeweka picha kelele zingekuwa nyingi nyinyi kila kitu mtazamo tofauti kwanini lakini?
Mkuu huwa nakuelewa sana yani nikiona avatar yako tu lazima n smile ,.Uzuri hawa jamaa hesabu fizikia au niseme science nchi zao ni kipaumbele
Yule aliye mfyatulia risasi hewan kiongoz mflanNatabiri hii rekodi itakuja kuvunjwa na mtanzania.
mkuu unashindwa kuconvert metres zilizotajwa hapo kuwa kilometer's?Ni sawa na km ngap
Habari mbaya sana hii kwa FaizaFoxy
With one bulletI killed them Jenkins brothers with One Bullet.....In Rango Voice