Sniper wa Kikanada avunja rekodi ya dunia

Sniper wa Kikanada avunja rekodi ya dunia

Sniper au mlenga shabaha hodari wa Kikanada ameweka rekodi kwa kumtungua gaidi wa kikundi cha IS (Islamic State) “daesh”aliyekuwa umbali wa zaidi ya takribani maili 2. Katika kuweka rekodi hiyo, Sniper huyo alitumia silaha aina ya “McMillan TAC-50 sniper rifle” akiwa juu ya moja ya majengo marefu inchini Iraq.
canadian-forces-kabul.jpg
C:\Users\ERIC-M~1\AppData\Local\Temp\msohtmlclip1\10\clip_image002.jpg


Risasi hiyo ilisafiri chini ya sekunde 10 kumi na kumuua gaidi huyo aliyekuwa umbali wa mita 3,540 (maili 2.19) umbali huo ni sawa kabisa na urefu wa kutoka kwenye kanisa la Mviringo (KKKT Magomeni) na kona ya kwenda Mabibo kutokea barabara kuu ya Morogoro.

Risasi hiyo iliweza kusimamisha tukio lillokuwa linaenda kutekekelezwa na magaidi hao dhidi ya askali polisi wa Iraq na tukio hilo zima lilirekodiwa na wenzake kwa mfumo wa video ili wahifadhi kwenye kumbukumbu zao.

Tukio hilo lilivunja rekodi iliyowekwa mwanzo na mwanajeshi (sniper) wa Kiingereza Craig Harrison aliyewahi kumpiga adui (taliban) risasi akiwa kwenye umbali wa mita 2,475 (maili1.53) nchini Afghanistan (Helmand Province) mwaka 2009 akitumia “L115A3 long range rifle”.

Kamanda wa kikosi cha Operesheni Maalumu cha Jeshi la Kanada alizibitisha hilo na ushahidi upo ila alikataa kusema ni lini tukio hilo lilifanyika kutokana na sababu maalum za kuisalama.

Walenga shabaha hao hodari huwa wanatakiwa kuweka mahesabu yao sawa kulingana na uvumi wa upepo, milima na mabonde na mruko wa risasi yenyewe ili iweze kutimiza malengo.

Hii ni habari nzuri kwa waziri mkuu wa Kikanada ambaye alisimamisha matumizi ya ndege za kudodonsha mabomu mwaka 2016 na kuhahidi kuongeza maradufu wanajeshi hao maalum na pia wa kawaida ili kusaidia kutoa mafunzo jeshi la Iraq.

McMillan TAC-50
379c413e3caac3f1cd042f4a7f2491b4.jpg


Source: BBC & Sky News
C:\Users\ERIC-M~1\AppData\Local\Temp\msohtmlclip1\10\clip_image004.jpg
Yes very possible only under favourable conditions, snipers know that.
 
Unapokuwa unalenga kwa utulivu wa hali ya juu unakuwa subconscious .
Mapigo ya moyo yanakuwa juu sana
Ni mbinu ngumu sana kwani unaachia trigger between the heartbeat
 
Wanaenda kuua watu kwa kujisifu utafikiri ameua swala.
Wao wakiuawa kelele nyingi sana. Hiyo ndio double standard yao.
 
Wadar es salam bwana, eti kutoka kanisa LA mviringo KKKT hadi Mabibo. We unafikiri wote tunaishi Dar es salaam?

Mambo mengine muwe munauliza watu.
Anyway asnante
 
he he! Sekunde 10!!
mpigwaji alikuwa ktk pozi gani na ilimpata maeneo gani..?
Alipiga mahesabu maana yake nini?...alipiga mahesabu maana yake hivi:
Alimsoma huyo IS muda wa hatua anazo chukua, kam yeye alijua umbali alipo ni 2mile na risasi kufika umbali huo itatumia 10second basi bila shaka spid ha risasi kutokea mdomoni ni 2mile/10sec=0.2mile/sec.
Let say kwa mtu ambaye hana haraka asiye na njaa anakwenda1.5hatua kwa 1sec=1.5ft/sec that was speed ya IS. Hence 1.5ft/sec=0.000242457mile/sec....kwahiyo time ya bullet 10s=time ya IS kutembea distance x:

10sec=(0.000242457mile/sec)*X==>X=4.4meters approx.

Kwahiyo sniper alimpiga IS 4.4meters mbele toka 0m reference point alipoanza kumlia timing.
Assumpted conditions

1.Neglecting air resistance
2 Assuming g(9.81N/kg)=constant
3.Assuming non-relativistic and quantum phenomenon.
 
kawaida hawezi kufanya yote mwenyewe bila kuwa na msaidizi wa kupima upepo nk
 
Ila viwanja vitatu kwa sekunde kumi!!!!!bado haiingii akilini.

Embu turejee sekunde moja risasi inakimbia speed kiasi gani,ndio tutajua kwamba kwa hizi sekunde kumi ingemaliza mamia ya miles,sio hako ka kipande ka umbali.

Labda sekunde kumi muda wa kuhesabu sniper kabla ya kuruhusu risasi.
 
Aisee, huyo sniper kaibahatisha hiyo hawezi rudia, risasi inayosafiri muda mrefu hivyo inakupata hata mlio hukusikia.

Aliyeimba ukisikia paa imekukosa alikosea, kwa sniper unasikia paa unakufa baada ya sekunde 10. Kudadeki. Yaani jamaa kapima upepo kajua uzito wa risasi ka~calculate projectile angle kaachia na kikatua penyewe.
Spotter ndio anampigia mahesabu. Sniper kazi yake ku adjust bunduki kulingana na mahesabu ya spotter wake.
 
Wanaenda kuua watu kwa kujisifu utafikiri ameua swala.
Wao wakiuawa kelele nyingi sana. Hiyo ndio double standard yao.
Tulia acha kukurupuka ameua jamaa wa IS au hawa jamaa ndugu zako nini???
 
Unapokuwa unalenga kwa utulivu wa hali ya juu unakuwa subconscious .
Mapigo ya moyo yanakuwa juu sana
Ni mbinu ngumu sana kwani unaachia trigger between the heartbeat
Sie tunae wetu Makame mbona yupo vzr tu ni vile hatuna mahali pa kufanyia
 
Back
Top Bottom