SMZ zuieni Watanganyika kuingia Visiwani watatuletea majanga

dega,
Yes nilisema nastaafu baada ya kumpata Polepole, kujiunga CCM na kukabidhiwa kadi yangu ya CCM.

Unfortunately sikufanikiwa kumpata Polepole, mpaka sasa bado namtafuta Polepole, nikimpata najiunga CCM na kuaga rasmi jf. Hivyo kwa sasa bado nipo nipo jf nikimsubiria Polepole.

P
 
Yes nilisema nastaafu baada ya kumpata Polepole, kujiunga CCM na kukabidhiwa kadi yangu ya CCM.
Unfortunately sikufanikiwa kumpata Polepole, mpaka sasa bado namtafuta Polepole, nikimpata najiunga CCM na kuaga rasmi jf. Hivyo kwa sasa bado nipo nipo jf nikimsubiria Polepole.
P
Haya mtafuteeee ukimaliza
#STAY AT HOME
Wengine mlipokuja ktk mazishi ya NGULI MARINE hamkuondoka tena wala hamkukaa karantini ya wiki 2

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ahahahaaaa . Siyo vizuri hivyo !! Siku hizi 50/50.
Odhis *
Mgawanyo wa 50/50 ni hadhi washirika wa muungano, yaani hadhi ya iliyokuwa Tanganyika na hadhi ya iliyokuwa Jamhuri ya Watu wa Zanzibar, ziko sawa ndani ya muungano, lakini kufuatia ukumbwa wa eneo na economic activities, Zanzibar ni just 4.5% ya Tanzania.
P
 
Hivi P. Kwanini sisi wa Tanganyika tunajifanya kuwaonea huruma sana wa Zanzibari ?!. Ukisoma maoni ya watu wa bara humu , ni kuwa hawapendi kusikia wa Zanzibari wanataka kusimama kwa miguu yao wenyewe !!!. Wakati wa Zanzibari wengi wangependa waachwe na umasikini wao. Lakini wa Tanganyika wengi eti wanaonea huruma. Why P.?!

Odhis *
Hili ni fikirishi sana mkuu
 
Hao viongozi wenu wote historia zao ni watanganyika pia.

Labda useme watanganyika waenyeji wa Zanzibar wawazuie watanganyika wageni kuja Zanzibar.

Hata wewe pia ni mtanganyika pengine babu zako wanyawezi au wamakonde kinyume na hapo wewe sio mtanzania.
Wajinga hao wanajisahaurisha, (wanzibari weusi wote asili yao ni bara)
 
dega,
Kwa kweli nimejiuliza maswali kdhaa ambayo yamenipa ukakasi juu ya hatua za serkali sasa hivi kupmbana na COVID -19.
Hawa wagonjwa walioptikn Zanzibar wametokea Tanga.

1, Je hii ilikuwa random sampling tu , au hao wawili ni kati ya wengi waliopimwa

2, Na huko Tanga walikotoka,hali ikoje maana wametoka katika jamii ambay inaelekea kuna wagonjwa wengine.

3. Je Ummy atatueleza vipi , hawa wawili wako kati ya wale 20 ambao serikali imekuwa ikiwataja kuwa wana maambukizi?

4. Majibu ya maswali hayo yatasaidia kuelewa kuw mikakati ya serikali kudhibiti corona ni usanii au ni hatua madhubuti.

5. Nchi za jirani zitaanza kungiw na wasiwasi kuwa kila Mtanzania anyetoka nchini mwake ni lazima atakuwa carrier wa virusi vya covid19, maana hatua za kudhibiti ugonjwa nchini mpaka sasa ni hafifu au hazina matokeo chanya.

Tuchukue tahadari.
 
Hao wagonjwa waliingia huko tatehr 13 na tarehe 18 mwezi uliopita,yaonyesha hao hawajatoka na ugonjwa Tanga,itakuwa wameambukizwa huko huko Zanzibar,

kama wangekuwa ugonjwa wamwtoka nao Tanga, wangekutwa na ugonjwa mda huo huo walioingia au ndani ya siku 14. Lakini mpaka wanapata ugonjwa ni zaidi ya siku 14.

Ni bahati hawakurudi Tanga,kama wangekuwa wamerudi,ndio wangeuleta ugonjwa Tanga. dega,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umesema kweli tupu
Pengine huelewi mazingira ya visiwani. Kwa taarifa yako ni kwamba hivi karibuni karibu watu 600 ambayo inasadikiwa kuwa wapemba wameingia pemba kinyemela. Hao wanaotoka Tanga karibu wote ni wapemba wanaoishi Tanga na wengine toka pemba ndiyo wanaokwenda visiwani humo kupitia Pemba. Ni aghlabu sana kwa mtu wa bara kukimbilia pemba.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom