Mtamroga au mtamsomea albadil? wewe ndio umeamua kuwa hatakiwi kutia mguu Zanzibar au?
Ndugu zangu wa Zanzibar jaribuni kubadilika jamani, hivi kweli mnadhani mtabaki na akili hizo hadi lini? kwanini mnapenda sana ligi zisizokuwa na maana? Ninahisi wa bara wamewachoka mno basi tu, ingekuwa kuna kura za maoni nahisi idadi kubwa ya kukataa muungano wa kijinga huu ingetoka bara sasa....
Hatimaye Serikali ya mapinduzi Zanzibar imeupinga kabisa na kuukataa waraka uliotolewa na kanisa katoliki . Imeweka wazi kuwa waraka huo ni hatari sana na una nia na madhumuni ya kugawa nchi ikiwa pamoja na kuvunja umoja wa kitaifa,
Waraka wa wakatoliki mwisho Chumbe
Wakatoliki kwanza mjitoe toka kwenye UTUMWA wa kutawaliwa na Papa wa vatican. Kwanza mngeanza kuwachagua viongozi wenu wenyewe hapa tanzania kuanzia kadinari, maaskofu na mapadri nyie wenyewe na kuwabariki wenyewe kisha kumpelekea papa taarifa tu na sio yeye ndie awchagulie na kuwabariki viongozi wenu wa kikatoliki.
Wazanzibar hawataki mchezo mchafu wa wakatoliki
Wakatoliki kwanza mjitoe toka kwenye UTUMWA wa kutawaliwa na Papa wa vatican. Kwanza mngeanza kuwachagua viongozi wenu wenyewe hapa tanzania kuanzia kadinari, maaskofu na mapadri nyie wenyewe na kuwabariki wenyewe kisha kumpelekea papa taarifa tu na sio yeye ndie awchagulie na kuwabariki viongozi wenu wa kikatoliki.
Wazanzibar hawataki mchezo mchafu wa wakatoliki
Kamilisha habari hii, naona kama ni vipande vipande tu. Tupatie mazingira: lini, wapi, nani? n.k au chanzo cha habari.Hatimaye Serikali ya mapinduzi Zanzibar imeupinga kabisa na kuukataa waraka uliotolewa na kanisa katoliki . Imeweka wazi kuwa waraka huo ni hatari sana na una nia na madhumuni ya kugawa nchi ikiwa pamoja na kuvunja umoja wa kitaifa,
Waraka wa wakatoliki mwisho Chumbe
Ustaadh Hafif naona umenijibu kwa nguvu ila kwanza naomba ujue hata mimi sio Mkatoliki ila ninawaheshimu wakatoliki kama ambavyo ninawaheshimu watu wa dini yoyote, ukiuliza kwa nini wakatoliki wanachaguliwa viongozi na papa nao watakuuliza kwanini na wewe unaongea kiarabu wakati ni muafrika naomba tusifike huko.
Cha msingi tuangalie shida zetu na matakwa yetu mkubwa, pakitoka waraka wa maaskofu wa katoliki alafu ukaleta chuki zako za muungano ndio unaleta shida sasa, nyie wazanzibari ni kama mnaamini mnaonewa au sijui mnaburuzwa, hiyo ni makosa ustaadh, ungejua kama nyie ndio mnanufaika na huu muungano wa alinacha ungeshukuru rafiki, ninaamini kwa akili yako unaweza kujua kabisa zanziba kama nchi muungano ukivunjika mnategemea nini kuingiza kipato? Utalii huo unaoendeshwa na waitalia na watanganyika? Karafuu iliyoshuka thamani? au bandari isiyo na tija hiyo? Kiukweli ukae ukijua viongozi wa bara wanalilia huu muungano sababu ya usalama wa Tanzania bara tu ila kubali mkatae muungano huu unawasaidia nyinyi zaidi kuliko bara kuanzia umeme, elimu, ujanja na kila kitu
.Wakatoliki kwanza mjitoe toka kwenye UTUMWA wa kutawaliwa na Papa wa vatican. Kwanza mngeanza kuwachagua viongozi wenu wenyewe hapa tanzania kuanzia kadinari, maaskofu na mapadri nyie wenyewe na kuwabariki wenyewe kisha kumpelekea papa taarifa tu na sio yeye ndie awachagulie na kuwabariki viongozi wenu wa kikatoliki.
Wakatoliki kwanza mjitoe toka kwenye UTUMWA wa kutawaliwa na Papa wa vatican. Kwanza mngeanza kuwachagua viongozi wenu wenyewe hapa tanzania kuanzia kadinari, maaskofu na mapadri nyie wenyewe na kuwabariki wenyewe kisha kumpelekea papa taarifa tu na sio yeye ndie awchagulie na kuwabariki viongozi wenu wa kikatoliki.
Wazanzibar hawataki mchezo mchafu wa wakatoliki
Mtamroga au mtamsomea albadil? wewe ndio umeamua kuwa hatakiwi kutia mguu Zanzibar au?
Ndugu zangu wa Zanzibar jaribuni kubadilika jamani, hivi kweli mnadhani mtabaki na akili hizo hadi lini? kwanini mnapenda sana ligi zisizokuwa na maana? Ninahisi wa bara wamewachoka mno basi tu, ingekuwa kuna kura za maoni nahisi idadi kubwa ya kukataa muungano wa kijinga huu ingetoka bara sasa....
Hatimaye Serikali ya mapinduzi Zanzibar imeupinga kabisa na kuukataa waraka uliotolewa na kanisa katoliki . Imeweka wazi kuwa waraka huo ni hatari sana na una nia na madhumuni ya kugawa nchi ikiwa pamoja na kuvunja umoja wa kitaifa,
Waraka wa wakatoliki mwisho Chumbe