SMZ yakataa waraka wa wakatoliki

Barubaru

JF-Expert Member
Apr 6, 2009
7,161
2,323
Hatimaye Serikali ya mapinduzi Zanzibar imeupinga kabisa na kuukataa waraka uliotolewa na kanisa katoliki . Imeweka wazi kuwa waraka huo ni hatari sana na una nia na madhumuni ya kugawa nchi ikiwa pamoja na kuvunja umoja wa kitaifa,

Waraka wa wakatoliki mwisho Chumbe
 
Hatimaye Serikali ya mapinduzi Zanzibar imeupinga kabisa na kuukataa waraka uliotolewa na kanisa katoliki . Imeweka wazi kuwa waraka huo ni hatari sana na una nia na madhumuni ya kugawa nchi ikiwa pamoja na kuvunja umoja wa kitaifa,

Waraka wa wakatoliki mwisho Chumbe
Mbona serikali imepiga marufuku hata ule waraka wa Shura za maimamu? Kwa nini umeacha kuutaja huo ukataja wa wakatoliki tu? Uwe mkweli bana! Serikali imesema haitaki waraka wa mwongozo
 
Mbona serikali imepiga marufuku hata ule waraka wa Shura za maimamu? Kwa nini umeacha kuutaja huo ukataja wa wakatoliki tu? Uwe mkweli bana! Serikali imesema haitaki waraka wa mwongozo
Kwa sababu huo ukarasa au waraka wa kanisa ndio kiini cha matatizo yote ambayo yanendelea kurindima.Na ndio mzizi wa fitna hivyo ukishakatwa huo mingine yote itanywea na kufa.
 
Kutoutaja MWONGOZO wa Shura ya Maimamu kuwa ni mzuri au la inamaanisha kwamba SMZ wanaukubali? Kaazi kweli kweli!
 
Hatimaye Serikali ya mapinduzi Zanzibar imeupinga kabisa na kuukataa waraka uliotolewa na kanisa katoliki . Imeweka wazi kuwa waraka huo ni hatari sana na una nia na madhumuni ya kugawa nchi ikiwa pamoja na kuvunja umoja wa kitaifa,

Waraka wa wakatoliki mwisho Chumbe

sasa mwache kadinali pengo atowe kunya zake kwa SMZ,kama hayatomkuta yaliyo mkuta shekh KURWA ,zanzibar anisikia tu sasa na kuiona paa ,hadi hivi naingia mitamboni hatakiwi hata kutia mguu wake hapa zanzibar.
 
Mbona serikali imepiga marufuku hata ule waraka wa Shura za maimamu? Kwa nini umeacha kuutaja huo ukataja wa wakatoliki tu? Uwe mkweli bana! Serikali imesema haitaki waraka wa mwongozo

Kitu ambacho sikielewi ni kuwa nyaraka hizi ni za serikali au za wananchi?. Ikiwa waumini wa dini wanakaa na kusema kuwa wanataka waogozwe vipi hayo haiyahusu serikali kwani serikali imewekwa na wananchi bali ni jukumu la wananchi wenyewe.

Tatizo hawa watu waliopewa dhamana wanajiona kama vile wana haki miliki na yeyote anayeingilia ulaji wao wanamuona ni mhatarisha usalama wa nchi( hawa wote ni wanafiki na wabinafsi hakuna kinacho wasumbua zaidi ya ubinafsi wao)

Waraka huu si kwa ajili yao ni kwa ajili ya wananchi wachague watu wanaowaona wanafaa na si vinginevyo sasa kwa kuwa wao tayari wanajijua hawafai wanaanza kulialia "they are hypocrites" kama waraka ungekuwa unawafagilia wao wangeutumia kujihakikishia kubaki kuitafuna nchi. Serikali yoyote ile haina mamlaka ya kuupinga waraka wowote kwani si kwa ajili yao na kitendo chochote cha kuupiga marufuku ni power abuse na one day tutawashitaki kwa udikteta wao na kuiminya katiba inayompa haki mtu kueleza mawazo yake (freedom of expression)
 
sasa mwache kadinali pengo atowe kunya zake kwa SMZ,kama hayatomkuta yaliyo mkuta shekh KURWA ,zanzibar anisikia tu sasa na kuiona paa ,hadi hivi naingia mitamboni hatakiwi hata kutia mguu wake hapa zanzibar.

Nyie wazanzibari acheni ujinga wenu; hao mafisadi wanaowatawala ndio chanzo cha matatizo ya maisha yenu eboo!! waraka wa katoliki unawapa mwanga wa jinsi ya kujinasua kutoka kwenye makucha ya wakandamizaji wenu na ndio maana wanaupinga. AMKENI SAA YENU YA UKOMBOZI NI SASA: AMA SIVYO HAO MASULTANI WENU WEUSI{ UKOO WA KARUME NA MWINYI} UTAWATAWALA MILELE NA MILELE NA DAIMA MTAKUWA MAFUKARA!!
 
sasa mwache kadinali pengo atowe kunya zake kwa SMZ,kama hayatomkuta yaliyo mkuta shekh KURWA ,zanzibar anisikia tu sasa na kuiona paa ,hadi hivi naingia mitamboni hatakiwi hata kutia mguu wake hapa zanzibar.

Mtamroga au mtamsomea albadil? wewe ndio umeamua kuwa hatakiwi kutia mguu Zanzibar au?
Ndugu zangu wa Zanzibar jaribuni kubadilika jamani, hivi kweli mnadhani mtabaki na akili hizo hadi lini? kwanini mnapenda sana ligi zisizokuwa na maana? Ninahisi wa bara wamewachoka mno basi tu, ingekuwa kuna kura za maoni nahisi idadi kubwa ya kukataa muungano wa kijinga huu ingetoka bara sasa....
 
Mtamroga au mtamsomea albadil? wewe ndio umeamua kuwa hatakiwi kutia mguu Zanzibar au?
Ndugu zangu wa Zanzibar jaribuni kubadilika jamani, hivi kweli mnadhani mtabaki na akili hizo hadi lini? kwanini mnapenda sana ligi zisizokuwa na maana? Ninahisi wa bara wamewachoka mno basi tu, ingekuwa kuna kura za maoni nahisi idadi kubwa ya kukataa muungano wa kijinga huu ingetoka bara sasa....
KULA TANO BWANA MKUBWA.....yaani wabongo tumewachoka hawa wazanzibar mpaka inatia kinyaa,siku hizi wala hawaendi huko watu ni china au indonesia.aaaaaaaaah hhhuu mungano ufe wabaki na kakisiwa kao,hovyooo.
 
Kutoutaja MWONGOZO wa Shura ya Maimamu kuwa ni mzuri au la inamaanisha kwamba SMZ wanaukubali? Kaazi kweli kweli!
Habari ndiyo hiyo hatutaki fitna zenu....someni waraka wenu huko huko makanisani khalas
 
KULA TANO BWANA MKUBWA.....yaani wabongo tumewachoka hawa wazanzibar mpaka inatia kinyaa,siku hizi wala hawaendi huko watu ni china au indonesia.aaaaaaaaah hhhuu mungano ufe wabaki na kakisiwa kao,hovyooo.
Naona maji yameganda sasa unaita nini ........barafu?
 
sasa mwache kadinali pengo atowe kunya zake kwa SMZ,kama hayatomkuta yaliyo mkuta shekh KURWA ,zanzibar anisikia tu sasa na kuiona paa ,hadi hivi naingia mitamboni hatakiwi hata kutia mguu wake hapa zanzibar.

Sasa wewe, sikuelewi. Hebu tafuteni kwanza uhuru wenu, halafu mkishakuwa huru ndio muweze kumsemea aliyehuru kama Pengo. Hamjui kuwa tangu enzi za mkoloni tulikuwa na maliwali waliokuwa wanawajibika kwa wakoloni na sio kwa wananchi? Nyie leo sijui imekaaje? Labda mwaka ujao mtajichagulia liwali vile, sijui!???!!??
 
Kitu ambacho sikielewi ni kuwa nyaraka hizi ni za serikali au za wananchi?. Ikiwa waumini wa dini wanakaa na kusema kuwa wanataka waogozwe vipi hayo haiyahusu serikali kwani serikali imewekwa na wananchi bali ni jukumu la wananchi wenyewe.

Tatizo hawa watu waliopewa dhamana wanajiona kama vile wana haki miliki na yeyote anayeingilia ulaji wao wanamuona ni mhatarisha usalama wa nchi( hawa wote ni wanafiki na wabinafsi hakuna kinacho wasumbua zaidi ya ubinafsi wao)

Waraka huu si kwa ajili yao ni kwa ajili ya wananchi wachague watu wanaowaona wanafaa na si vinginevyo sasa kwa kuwa wao tayari wanajijua hawafai wanaanza kulialia "they are hypocrites" kama waraka ungekuwa unawafagilia wao wangeutumia kujihakikishia kubaki kuitafuna nchi. Serikali yoyote ile haina mamlaka ya kuupinga waraka wowote kwani si kwa ajili yao na kitendo chochote cha kuupiga marufuku ni power abuse na one day tutawashitaki kwa udikteta wao na kuiminya katiba inayompa haki mtu kueleza mawazo yake (freedom of expression)

Nafikiri tuwe fair! Kwanini tunasema kuwa serikali haihusiki kwa hili la Waraka wa kidini eti ni mawazo ya wananchi? Kwani mahakama ya Kadhi si MATAKWA ya wananchi? Mbona Serikali na Wabunge wamekataa kusikiliza? Nini sababu inayotolewa si Udini? Na waraka wa Kidini ni wa Kidini na unapotolewa na kundi moja huku ukiacha kundi jengine utakuwa na lengo la kuligawa Taifa.
 
Nyie wazanzibari acheni ujinga wenu; hao mafisadi wanaowatawala ndio chanzo cha matatizo ya maisha yenu eboo!! waraka wa katoliki unawapa mwanga wa jinsi ya kujinasua kutoka kwenye makucha ya wakandamizaji wenu na ndio maana wanaupinga. AMKENI SAA YENU YA UKOMBOZI NI SASA: AMA SIVYO HAO MASULTANI WENU WEUSI{ UKOO WA KARUME NA MWINYI} UTAWATAWALA MILELE NA MILELE NA DAIMA MTAKUWA MAFUKARA!!



Unajua kuwa fidhuli alishindwa kwa kurejeshewa tusi lake? Anza kuacha ujinga wewe nasi tutakufuatilia.
 
Mtamroga au mtamsomea albadil? wewe ndio umeamua kuwa hatakiwi kutia mguu Zanzibar au?
Ndugu zangu wa Zanzibar jaribuni kubadilika jamani, hivi kweli mnadhani mtabaki na akili hizo hadi lini? kwanini mnapenda sana ligi zisizokuwa na maana? Ninahisi wa bara wamewachoka mno basi tu, ingekuwa kuna kura za maoni nahisi idadi kubwa ya kukataa muungano wa kijinga huu ingetoka bara sasa....

Acha uongo Bwana! Hivyo huoni aibu kuhusishwa na watu wasio na akili? Basi tangazeni kuachana nao.
 
KULA TANO BWANA MKUBWA.....yaani wabongo tumewachoka hawa wazanzibar mpaka inatia kinyaa,siku hizi wala hawaendi huko watu ni china au indonesia.aaaaaaaaah hhhuu mungano ufe wabaki na kakisiwa kao,hovyooo.

Muungwana ni vitendo sio maneno na kama kujielewa ndio mnahisi kinyaa basi mtapata tabu kijana. Kumbe ni kuhamahama sio kujitegemea? Loh Kazi ipo!
 
Sasa wewe, sikuelewi. Hebu tafuteni kwanza uhuru wenu, halafu mkishakuwa huru ndio muweze kumsemea aliyehuru kama Pengo. Hamjui kuwa tangu enzi za mkoloni tulikuwa na maliwali waliokuwa wanawajibika kwa wakoloni na sio kwa wananchi? Nyie leo sijui imekaaje? Labda mwaka ujao mtajichagulia liwali vile, sijui!???!!??


Tatizo unachokiona wewe kuwa ni kilima kwa mwenzio ni kichuguu.
 
Back
Top Bottom