Barubaru
JF-Expert Member
- Apr 6, 2009
- 7,161
- 2,323
Hatimaye Serikali ya mapinduzi Zanzibar imeupinga kabisa na kuukataa waraka uliotolewa na kanisa katoliki . Imeweka wazi kuwa waraka huo ni hatari sana na una nia na madhumuni ya kugawa nchi ikiwa pamoja na kuvunja umoja wa kitaifa,
Waraka wa wakatoliki mwisho Chumbe
Waraka wa wakatoliki mwisho Chumbe