Sms kutoka kwa JMKikwete

Sms kutoka kwa JMKikwete

Fofader

JF-Expert Member
Joined
Sep 28, 2011
Posts
864
Reaction score
301
Ndugu Watanzania, tumehesabiwa, jumla tuko 44,929,002.Tanzania Bara 43,625,434 na Tanzania Zanzibar 1,303,568.Asanteni, Dkt. Jakaya M Kikwete.


Sent from my iPhone
 
Ndugu Watanzania, tumehesabiwa, jumla tuko 44,929,002.Tanzania Bara 43,625,434 na Tanzania Zanzibar 1,303,568.Asanteni, Dkt. Jakaya M Kikwete.


Sent from my iPhone

Ka sign-off "Dkt. Jakaya M Kkwete"?:confused2:
 
Naona wamepelekewa wengi "SMS" hizo.Sina uhakika amewapelekea watu wa aina gani au magamba!
 
3% ya watanzania wanaishi Zanzibar, na 97% wanaishi Tanganyika. Nafikiri hili ni jambo la kuzingatiwa sana katika mgawanyo wa Rasilimali pamoja na kutenga budget ya Serekali.
 
Sheikh Ponda ndio wangapi vile kuhesabiwa? na yeye katumiwa hio sms?
 
hata mie sijapata...au wanatumiana magamba tu???
 
3% ya watanzania wanaishi Zanzibar, na 97% wanaishi Tanganyika. Nafikiri hili ni jambo la kuzingatiwa sana katika mgawanyo wa Rasilimali pamoja na kutenga budget ya Serekali.
Hata kwenye Bunge la Muungano wabunge wa Zanzibar wawe 3% ambao sio zaidi ya 10 ndio hapo ngoma itakuwa draw
 
Ndugu Watanzania, tumehesabiwa, jumla tuko 44,929,002.Tanzania Bara 43,625,434 na Tanzania Zanzibar 1,303,568.Asanteni, Dkt. Jakaya M Kikwete.


Sent from my iPhone

hii sms sijaipata labda kwa sababu sijahesabiwa
 
Mi nimepata. Hiyo sms lakini nimeona haina taarifa mpya labda cha msingi nilichonote ni kwamba kikwete anatumia lain ya tigo
 
Sensa magumashi,wengi hatukuhesabiwa.

Mimi na famili yangu nadhani tunashida. Hii ni sensa ya pili nikiwa naishi maeneo tofauti wamekuwa wakiishia nyumba moja kabla ya kufika kwangu, huwa nawaona hao lakini nyumba yangu hawafiki, kwahiyo kwenye hesabu hiyo ongeza watu wanne wa wafamilia yangu.
 
Back
Top Bottom