Stephen Mwita
New Member
- Jan 1, 2013
- 2
- 0
kwa kweli hata mimi na familia yangu hatuku hesabiwa kwa iyo waongeze watu wanane kwenye hiyo hesabu
Wanalipua lipua tu,hawako makini na kitu chochote.Mimi na famili yangu nadhani tunashida. Hii ni sensa ya pili nikiwa naishi maeneo tofauti wamekuwa wakiishia nyumba moja kabla ya kufika kwangu, huwa nawaona hao lakini nyumba yangu hawafiki, kwahiyo kwenye hesabu hiyo ongeza watu wanne wa wafamilia yangu.
3% ya watanzania wanaishi Zanzibar, na 97% wanaishi Tanganyika. Nafikiri hili ni jambo la kuzingatiwa sana katika mgawanyo wa Rasilimali pamoja na kutenga budget ya Serekali.
Hata kwenye Bunge la Muungano wabunge wa Zanzibar wawe 3% ambao sio zaidi ya 10 ndio hapo ngoma itakuwa draw
kwa kweli hata mimi na familia yangu hatuku hesabiwa kwa iyo waongeze watu wanane kwenye hiyo hesabu
hapa inaonekana tunatumikia watu kwa kodi zetu bure maana kwa zanibari walitakiwa hata wabunge 7 au 8 tu sasa tuna rais mawaziri,naibu mawaziri wakuu wa mikoa na wengine, ndiyo maana nasema huu muungano hausaidii chochote bara