Mtalii amekodi boti anazunguka nalo kwenye mto Zambezi kuangalia mandhari, akamuuliza kijana anayeongoza boti, "Do you know Biology, Psychology, and Anthropology?" Kijana akajibu "No". Mtalii akamwambia "What the hell do you know under the sun? You are useless and u´ll die with your illiteracy"
Baada ya muda boti ikaanza kuzama, kijana akamuuliza mtalii "Do you know kuogeleaology and kusepaology from mambaology?" Mtalii akajibu huku ametoa macho "No". Kijana akamwambia "You will kufaology and mambalogy will eat your machoyakology because of your bad-mdomology".
Chezea language wewe
Ukiweza nakupa Zawadi!
Kuna MTOTO alikuwa analia juu ya KABURI alipiulizwa unalilia nini akajibu KAKA wa MKE wa MAITI ni MJOMBA WANGU. JE MAITI NI NANI HAPO?
Chemsha bongo
Niandikie jina la ndege mwenye herufi 7, ukitoa herufi 2 za mwisho unapata jina la tunda, pia utapata jina la samaki, na ukigeuza jina la samaki unapata silaha.
acha kandia wewe,kazi inatafutwa kwenye jukwaa la utani?JOB OPPORTUNITY
Starting Salary $3000 per month
other allowances $1500 per month
Total per month $4500.
SEND YOUR CV to HR
m23@yahoo.com
or
muslim-brotherhood@gmail.com
al-shabaab@gmail.com
bokoharam@yahoo.com
Halafu ulalamike tena kuwa unatafuta kazi, mara hela ni ngumu, nitakuwa sikuunganishii michongo tena...
Familia iliyozoea matusi muda wote, siku moja ilienda kumposea mtoto wao wa kiume mchumba kwenye familia ya wastaarabu, wakapatana wawe wastaarabu na heshima huko waendako, hamna kutukana kwenye famillia wanayoenda kuposa.
Mchumba akaleta chai bila kijiko, yule kijana akahamaki kwa kelele "SARAH - sasa unaleta chai bila kijiko ntakoroga na MB*O yangu?".
BABA WA KIJANA: Nyamaza khanithi wee zungumza kwa adabu mtoto wa kahaba wewe!!
DADA: Mnat**bwa nini kwani hapa tumefata chai au K*ma?
MAMA WA KIJANA: Wallahi nifi**ni kama mtaozeshwa huyo binti.
Familia ya binti ikabaki kimya