Smart911 Kufunga Mwaka na Kasinde. ....

Smart911 Kufunga Mwaka na Kasinde. ....

Status
Not open for further replies.
Hapa kuna mawili ukimsoma mwanaume mahusiano yake ya nyuma na ya sasa kwa undani utagundua.
1. Lazima ni huwa ni utani na hajadate na yeyote.
2. Haiwezekani sifa anazomsifia kasinde zifanane na zile lazima kuna kusifiana uongo.
Mapenzi ya jf siyo ya kuyapa umakini.
Kuna couple moja kipindi cha 2015 ilikuwa fire. Yaan mwanamke full kumsifia mume wake. Nashangaa 2016 binti ana Mtu mwingine na sifa anazomwagia ni zile zile. Inamaana basi x wake na wa sasa wamefanana kila kitu.
Kuna siri kubwa ndani ya jf.

Sent from my IPhone 7 plus by using JamiiForums mobile app
Yule waliachana na ilikuwa kweli kabisa....nusu tusutwe
Cc espy
 
Hahaha

naikumbuka kwenye uzi huo huo smart kuja akaanza oohhh baby unajua mikono yangu inachofanya kwenye mwili wako when i kiss u!

mahondaw kuja na yeye, "ohhh supa dia nacheka kwa dharau prah prah prah" kile kicheko nilikuwa nakifananisha na mlio gari moja linaloitwa forokobe au mgongo wa kobe
Mbavu zangu
 
Saint Ivuga

sio kwamba nilikuwa nawafuatilia ila karibia kila nyuzi nazoingia nawaona halafu hawana jipya ata iwe siasa, hoja mchanganyiko, celebrit ni INASIKITISHA SANA, MAHONDAW WANGU USISIKILIZE YA DUNIA, MY KING NACHEKA KWA DHARAU...

Ilikuwa inanikera sana yaani sasa leo siwapumzikii nawachaana mpaka mchanike haswaaa tena siondoki ng'ooo mpaka mbadilishe tabia. Msipobadili basi tena na navyopenda umbeya aisehhhh jiandaeni kupata kiharusi
Mimi nacheka kwa dharauuu
Ha ha ha ha
Cc mapikipiki
 
У на серьозное отношения с Inna она сейчас беременна.
Здесь у меня две , другая ее зовут@relato она больная сейчас.
Но знаешь что mahondaw тоже очень красивая. Она была моя в прошлом году
Naomba tuijadili hi pm, tena jilete mwenyewe b4 me, there.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom