Slow jams - pini ipi ilikubamba

Slow jams - pini ipi ilikubamba

Hahahah leo hii dj khaled ni Don 19 times from Fat

Fat Joe amembeba sana Dj khaled! alimpenda kama mdogo wake vile anapotembea na yy huyo nyuma,lakini nafurahi kuona mpaka sasa hatakama kafanikiwa Dj Khaled bado anamchukulia Fat joe kama menter na bado wapo karibu sana..
images (6).jpeg
 
Ngoja nipumzike kwa mbaali nikimsikiliza Enya.
Now playing...
Amarantine by Enya mwenyewe.
Anakwambia hivi

"You know when you give your love away
It opens your heart,
Everything is new.
And you know time will always find a way
To let your heart believe it's true.

You know love is everything you say;
A whisper, a word,
Promises you give.
You feel it in the heartbeat of the day.
You know this is the way love is."
 
Keith Sweat - Twisted
Huu wimbo unanikumbusha mwaka 1996 niko darasa la nne. Kuna bro mmoja hivi jirani yetu alitafuna mabinti wengi sana wa sekondari kiasi kwamba kina mama wakawa wanamjadili ni kijana wa aina gani huyu? Kwenye geto lake alikuwa akiweka sana huo wimbo. Nikajisemea nikiwa mkubwa nataka niwe kama Kaka Frank. Huku ukubwani ndo nikaja kugundua nilikuwa mpuuzi sana kuwa na ndoto ya kuja kuwa mshenzi maana niligundua jamaa hakuwa na kitu zaidi ya kuwekeza kwenye muonekano wake tu kwa maana ya nguo na viatu.
 
Huu wimbo unanikumbusha mwaka 1996 niko darasa la nne. Kuna bro mmoja hivi jirani yetu alitafuna mabinti wengi sana wa sekondari kiasi kwamba kina mama wakawa wanamjadili ni kijana wa aina gani huyu? Kwenye geto lake alikuwa akiweka sana huo wimbo. Nikajisemea nikiwa mkubwa nataka niwe kama Kaka Frank. Huku ukubwani ndo nikaja kugundua nilikuwa mpuuzi sana kuwa na ndoto ya kuja kuwa mshenzi maana niligundua jamaa hakuwa na kitu zaidi ya kuwekeza kwenye muonekano wake tu kwa maana ya nguo na viatu.
Hahahahahah mnyamwezi😀
 
Kwa wale wa kizazi cha kabla ya Y2K watakumbuka miaka ya 90 hadi mwanzoni mwa 2k kulikuwa na nyimbo kali sana za R&B.

Kuna baadhi ya nyimbo ukisikiliza zinasisimua mpaka mifupa. Binafsi kuna ngoma moja ya Usher Raymond inaitwa " Nice & Slow" ilinikosha na still inanikosha.

Wewe wimbo gani ulikubamba?
A world of our own
Ni sound track ya movie blue lagoon
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom