Kwa mara ya kwanza nilipata nafasi ya kumsikiliza slaa kwa utulivu last saturday pale tegeta road kwenye kongamano la chuo kikuu cha ardhi! Nasema kwa utulive bcoz tulikuwa watu wachache and wengi tuliokuwepo pale ni wasomi.
Slaa yupo kwenye level nyingine kabisa ya utafiti wa mambo na uelewa. Nimekuwa najiuliza kama wanacdm wa kawaida hata wengine waliopo humu jamvini wanamwelewa yule mzee. Kuna vitu nilivipenda sana kuhusu slaa siku ile:
1. Yupo tayari kuomba msamaha akikosea na anakubali makosa,hilo alilionesha baada ya kuchelewa kufika kwa kama masaa3 hivi, alitoa sababu ya kuchelewa and akasema kwa mtu ambaye anataka kuongoza nchi halafu anachelewa basi hapo kuna walakini! Hivi kama Dr anaomba msamaha akikosea kwa nini humu jamvini watu ni wagumu sana kuapologize even if wanatoa kauli ambazo hazielezeki?
2. Slaa ni mkali sana, nakumbuka wakati anahutubia kuna sharobaro flan (makamu m/kiti BAVICHA Dsm) alikuwa anapiga stori na yule jamaa anaitwa benson, Slaa alimkaripia live bila chenga na kumwambia kama ni stori asubiri yeye akimaliza!
3. Ni mwelewa sana,kuna siku niliposti thread kuelezea ukosefu wa wanawake katika mikutano ya cdm,watu walinikashifu sana humu ndani! Lakini siku ile slaa alivyoiadress hiyo issue ni kama alisoma thread yangu! Pale pale aliwaagiza mdee and suzan lymo walishughulikie hilo swala. Alisema ukomboz unaowaacha wanawake nyuma una walakini! Since that day nimemsikiliza slaa nimetafakari sana na kujihisi wa tofauti sana,as if nimezaliwa mara ya pili au nimepigwa preaching kali na Benny Hinn!
Jamaa nimemkubali tena sana tu, kama ni makosa anayo and so is every human being, hakuna malaika hapa!
But pamoja na yote hayo inabidi tuhoji maamuzi yake, inabidi naye awe subject to scrutiny, asiwe Mungu mtu hapo ndipo tutaweza kujenga Tz bora zaidi! Slaa alisema msomi inabidi awe na hv vitu vitatu! SEE, JUDGE and ACT!
Tayari nimesee, judge and nataka kuact! Sijui niact vipi? Nipo kwenye ambiguity
Slaa yupo kwenye level nyingine kabisa ya utafiti wa mambo na uelewa. Nimekuwa najiuliza kama wanacdm wa kawaida hata wengine waliopo humu jamvini wanamwelewa yule mzee. Kuna vitu nilivipenda sana kuhusu slaa siku ile:
1. Yupo tayari kuomba msamaha akikosea na anakubali makosa,hilo alilionesha baada ya kuchelewa kufika kwa kama masaa3 hivi, alitoa sababu ya kuchelewa and akasema kwa mtu ambaye anataka kuongoza nchi halafu anachelewa basi hapo kuna walakini! Hivi kama Dr anaomba msamaha akikosea kwa nini humu jamvini watu ni wagumu sana kuapologize even if wanatoa kauli ambazo hazielezeki?
2. Slaa ni mkali sana, nakumbuka wakati anahutubia kuna sharobaro flan (makamu m/kiti BAVICHA Dsm) alikuwa anapiga stori na yule jamaa anaitwa benson, Slaa alimkaripia live bila chenga na kumwambia kama ni stori asubiri yeye akimaliza!
3. Ni mwelewa sana,kuna siku niliposti thread kuelezea ukosefu wa wanawake katika mikutano ya cdm,watu walinikashifu sana humu ndani! Lakini siku ile slaa alivyoiadress hiyo issue ni kama alisoma thread yangu! Pale pale aliwaagiza mdee and suzan lymo walishughulikie hilo swala. Alisema ukomboz unaowaacha wanawake nyuma una walakini! Since that day nimemsikiliza slaa nimetafakari sana na kujihisi wa tofauti sana,as if nimezaliwa mara ya pili au nimepigwa preaching kali na Benny Hinn!
Jamaa nimemkubali tena sana tu, kama ni makosa anayo and so is every human being, hakuna malaika hapa!
But pamoja na yote hayo inabidi tuhoji maamuzi yake, inabidi naye awe subject to scrutiny, asiwe Mungu mtu hapo ndipo tutaweza kujenga Tz bora zaidi! Slaa alisema msomi inabidi awe na hv vitu vitatu! SEE, JUDGE and ACT!
Tayari nimesee, judge and nataka kuact! Sijui niact vipi? Nipo kwenye ambiguity