Mzizi wa Mbuyu
JF-Expert Member
- May 15, 2009
- 7,472
- 7,275
Atuambie kwa nini alimuasi Mungu, Majukumu aliyopewa aliyakimbia teh teh teh leo apewe uprezida atatuacha solemba huyu!
Sina lengo la kupinga but kuna kitu hakizungumzwi wala kutazamwa sana
idadi ya kura alizopata DR Slaa......mwaka 2010....
watu wanasahau kuna watanzania wengi zaidi hawakupiga kura kabisa..
why hawakupiga kura na walijiandikisha....hilo swali lina maana kuubwa
walijiandikisha milioni 22 waliopiga kura hawakufika hata milioni 12
waliompigia DR Slaa hawakufka milion 6...
kuna kitu hapo kikubwa
....kitu kikubwa ukisemacho boss hakitokani na Dr. Slaa as a factor....bali kilitokana na vote rigging (wizi wa kura)...nadhani hiki ndicho watanzania wengi hawakijui(probably including you!).....Kwa watu waliowahi kupata yaliyojiri kwenye uchaguzi ule wa 2010 (insiders) hawatokubaliana na assessment yako inayomhusisha Dr.Slaa kama factor ya kushindwa uchaguzi ule.....Wizi wa kura kwa taifa hili la TZ ndio utawachelewesha wapinzani kushinda chaguzi za taifa hili.....Ukweli ndio huu...Hutaki unaacha.....
Ile hofu waliyonayo wapambe wa Slaa na hii kampeni walioianza ya kumpa sifa zisizo zake ni ishara tosha kuwa sasa hata Mbowe anafikiria upya.
There is no other way...Dr.Slaa is the next president,he is loyal and influential,a man with extraordinanary power granted by holy spirit.
There is no other way CCM will fall and UKAWA will prevail to the minds and soul of Tanzanians.
Kila kitu si wanasingizia kuhujumiwa, na UKAWA wameanza kuvutana wameshaanza kuisingizia CCM na nikuambie tu CCM wana hasira sana na UKAWA na this Oktoba wataipa kipigo cha mwizi na kuitawala milele UKAWA wanafanya maigizo tu wote wale ni watumishi watiifu wa CCM
Duh, ulikutana wapi na huyo Mungu akakwambia...fulani kaniasi!!?
Dr Slaa ndie kiboko ya CCM ....na sasa hivi kaacha vichwa kibao vya kumrithi CDM!!
Mzee Tupatupa habari ya huko kwenu Lumumba?
Umekuwa mwanasiasa shabiki wa CCM unayeishi katika imani za wanaTANU kusema kweli daima. Hata kama akina Nape huwa hawafurahishwi...
Wananchi wa Sumbawanga wakimsindikiza Dk. Slaa.
Sikio la kufa haliskiindawa nenda kamuulize wkati anaweka nadhiri kuwa Padre aliweka kwa nini?na hujui hilo afu akaingia mitini hata hajamtumikia Mungu sawasawa na nadhiri aliyoweka anataka kuja kwa wanadamu!
Mulize Mr dahifu alivyokuwa anahenyeshwa na Dr Slaa..... Dhaifu alichanganyikiwa akaahidi hadi garimoshi la umeme kwenda Mwanza!!! Dr Slaa ndie mpango mzima...!!
Nyie mabibi wa CCM subirini bwana zenu wawatupie makombo..mle mshibe!!
Mkuu Makene, huo umati unaomsindikiza Dr wa Ukweli haukupewa kila mtu laki na ishirini kweli? Tehe tehe!
..swali langu ni kwa boss niliye m quote si kwako.....Hayo maigizo unayosema kuhusu UKAWA siyaoni bali naona maigizo wanayofanya ccm....Jibu lako hapa halizungumzii hoja yangu.....Kila kitu si wanasingizia kuhujumiwa, na UKAWA wameanza kuvutana wameshaanza kuisingizia CCM na nikuambie tu CCM wana hasira sana na UKAWA na this Oktoba wataipa kipigo cha mwizi na kuitawala milele UKAWA wanafanya maigizo tu wote wale ni watumishi watiifu wa CCM
Yule ni kama maji,usimuoga utamnywa!!halafu kwa sasa Dr.Slaa sio mtu kama mtu tu,ni mtu aliye kwenye mioyo ya watu.Kum-watch Dr.Slaa ni kuwapa wananchi maendeleo na haki zao
Watakuwa wanakulipa vizuri kwa hii kazi ya kutumika kama attack dog. You're remotely controlled by your Masters.Unamzungumzia nani vile Padre mwambie akatimize nadhiri yake kwanza kanisa Katoliki afu ndo aje uraiani,la sivyo ataishia kunawa wenzake wanakula unwabwa!