Mzizi wa Mbuyu
JF-Expert Member
- May 15, 2009
- 7,472
- 7,275
Basi jaribu kuwapenda ACT Wazalendo for a change au CCJ?Sijui kwanini sina imani na UKAWA, japo SISIEM ndo sitaki kabsaaaa kuwasikia.
PIGENI MAWE
Sina lengo la kupinga but kuna kitu hakizungumzwi wala kutazamwa sana
idadi ya kura alizopata DR Slaa......mwaka 2010....
watu wanasahau kuna watanzania wengi zaidi hawakupiga kura kabisa..
why hawakupiga kura na walijiandikisha....hilo swali lina maana kuubwa
walijiandikisha milioni 22 waliopiga kura hawakufika hata milioni 12
waliompigia DR Slaa hawakufka milion 6...
kuna kitu hapo kikubwa
Hizi pilika pilika za uwingi wa Watu kutaka kujiandikisha katika Daftari la mpiga Kura kwa mtazamo wangu sio kwa ajiri ya kupiga Kura bali ni kutafuta Vitambulisho baada ya hapo hali itatulia kama hakuna kilichotokea, CCM ipo imefundishwa Mashuleni na Vyuoni kwa hiyo ipo Masikioni na Midomoni mwa Watu wengi kwa hiyo inafahamika na wengi UKAWA ni kitu kigeni miongoni mwa Watu vivyo hivyo Dr. Slaa, bado haijafanyika juhudi ya kutosha kumnadi na kuwaaminisha Watanzania kwamba anafaa kuliongoza Taifa hili.
Nasema hivi kwa sababu mbali ya Fitina za kisiasa walizonazo CCM sijaona Weledi hasa toka UKAWA juu ya kupambana na CCM, ninachokiona ni Misuguano ya chini chini katika yao juu ya Maslahi. Lakini pia Demokrasia ya namna ya kumpata Mgombea toka UKAWA haijawekwa wazi bado Watu wawili tu Lipumba na Slaa ndiyo wanatajwa kama vile hakuna watu wengine hili ni tatizo, wakati fulani Lissu aliwahi kuzungumza kwamba nae anautaka Urais inaelekea katishwa asiseme tena yupo kimya na hakuna mjadala kumuhusu tena.
Siasa ina mambo mengi kuna makundi ya wapiga Kura bado sijaona Jitihada za UKAWA za kufikia hayo makundi hata tukisema kwamba nchi yetu haina UDINI lakini DINI zipo na Makabila yapo Mikoa ipo na Kanda zipo, tumeona kilichotokea Mbeya wakati Mwandosya akitangaza NIA Vyama vyote vilimuunga mkono kwa hiyo Mchakato bado ni Mgumu ni suala la kusubiri lakini ukweli bado CCM wana nafasi kama watachanga vizuri karata zao
Mzee Tupatupa habari ya huko kwenu Lumumba?
Umekuwa mwanasiasa shabiki wa CCM unayeishi katika imani za wanaTANU kusema kweli daima. Hata kama akina Nape huwa hawafurahishwi...
Wananchi wa Sumbawanga wakimsindikiza Dk. Slaa.
2010 hawakuandikishwa wapigakura mil 20. idadi ilikuwa ndogo zaidi ya hapo. wengine waliandikishwa 2005.
uhakika kuwa tume iliondoa waliofariki kwenye daftari haupo kwa mfumo wetu wa utoaji taarifa. ndio maana hata majina ya waliofariki yamewahi kuripotiwa na hata watu kudhubutu kwenda kupiga kura kwa kutumia vitambulisho vya marehemu.
nachoweza kusema ni kwamba utaratibu wa kuliboresha daftari bado una kasoro nyingi.
pia hamasa ya watu kujiandikisha haikuwepo, ilikuja kupatikana kwenye kampeni lakini wengi hawakuwa wapiga kura.
Na waliompigia Kikwete nao idadi yao haijulikani.
Hakika kuna kitu kikubwa hapo.
Kiukweli kama nchi tunataka kupiga hatua...Dr Slaa ..ndie mtu tunaweza kumwamini kuwa anaweza kutufikisha huko....anaupeo mkubwa, anaufahamu mkubwa, ana akili nyingi sana, ana busara mnoo, ni mkweli, anaogopwa na mafisadi!! n.k
Nadhani tujipe muda baada ya Oktoba tutaona CCM watakuwa wamempata rais gani,Tanzania hatuendeshi kwa itikadi za dini na wala hiki sio kigezo kabisa cha kumpata rais wa nchi!
Kiukweli kama nchi tunataka kupiga hatua...Dr Slaa ..ndie mtu tunaweza kumwamini kuwa anaweza kutufikisha huko....anaupeo mkubwa, anaufahamu mkubwa, ana akili nyingi sana, ana busara mnoo, ni mkweli, anaogopwa na mafisadi!! n.k
Hayo ni maneno lakini Vitendo ni tofauti kabisa, kwa nini Watu wanazungumzia kwamba mara hii ni zamu ya Wakristo kuongoza nchi hii ina maana hayo yanasemwa kwa Bahati mbaya?
Hii miaka mitano tuliyoingia hasara ungekuta leo hii cement na mabati ni bei Chee, Leo hii tusingeijua ESCROW, Leo hii foleni Dar es Salaam na shida ya maji ingekuwa historia, Wasio na ajira wangepungua badala ya kuongezeka... Dr tunakuhitaji wewe ndiye yule uliyetumwa kututoa utumwani ni muda sasa wa kutupeleka nchi ya maziwa na Asali.
Sina lengo la kupinga but kuna kitu hakizungumzwi wala kutazamwa sana
idadi ya kura alizopata DR Slaa......mwaka 2010....
watu wanasahau kuna watanzania wengi zaidi hawakupiga kura kabisa..
why hawakupiga kura na walijiandikisha....hilo swali lina maana kuubwa
walijiandikisha milioni 22 waliopiga kura hawakufika hata milioni 12
waliompigia DR Slaa hawakufka milion 6...
kuna kitu hapo kikubwa
Naona umeamua kuja ID nyingine lakini ajenda ni ile ile,kumshambulia DR SLAA popote utakapoliona jina lake.Vipi gesi imetoka au haijatoka?Asiyefanya kazi hana haki ya kula, pole kwa kuendelwa kukaa utumwani, na uko peke yako huko kwa uvivu wako wa kufanya kazi!
Sina lengo la kupinga but kuna kitu hakizungumzwi wala kutazamwa sana
idadi ya kura alizopata DR Slaa......mwaka 2010....
watu wanasahau kuna watanzania wengi zaidi hawakupiga kura kabisa..
why hawakupiga kura na walijiandikisha....hilo swali lina maana kuubwa
walijiandikisha milioni 22 waliopiga kura hawakufika hata milioni 12
waliompigia DR Slaa hawakufka milion 6...
kuna kitu hapo kikubwa
Weka ushahidi hapa na takwimu za Ubunge na urais zikiwa na logo ya NEC acha kulewa mapema wewe!Ilikuwa ili ionekane JK ameshinda ilikuwa lazima kura zichezewe na kuonekana chache kuwa watu walioiga
kura ni wachache,haiwezekani eti jumla ya kura za ubunge ni nyingi mara dufu ya kura za urais,hivi inakuingia
akilini mtu anweza kuchagua mbunge akaacha kuchagua rais??
Naona umeamua kuja ID nyingine lakini ajenda ni ile ile,kumshambulia DR SLAA popote utakapoliona jina lake.Vipi gesi imetoka au haijatoka?
....kitu kikubwa ukisemacho boss hakitokani na Dr. Slaa as a factor....bali kilitokana na vote rigging (wizi wa kura)...nadhani hiki ndicho watanzania wengi hawakijui(probably including you!).....Kwa watu waliowahi kupata yaliyojiri kwenye uchaguzi ule wa 2010 (insiders) hawatokubaliana na assessment yako inayomhusisha Dr.Slaa kama factor ya kushindwa uchaguzi ule.....Wizi wa kura kwa taifa hili la TZ ndio utawachelewesha wapinzani kushinda chaguzi za taifa hili.....Ukweli ndio huu...Hutaki unaacha.....Sina lengo la kupinga but kuna kitu hakizungumzwi wala kutazamwa sana
idadi ya kura alizopata DR Slaa......mwaka 2010....
watu wanasahau kuna watanzania wengi zaidi hawakupiga kura kabisa..
why hawakupiga kura na walijiandikisha....hilo swali lina maana kuubwa
walijiandikisha milioni 22 waliopiga kura hawakufika hata milioni 12
waliompigia DR Slaa hawakufka milion 6...
kuna kitu hapo kikubwa