Sokomoko
JF-Expert Member
- Mar 29, 2008
- 1,915
- 127
- Thread starter
- #161
Well kuna wakristo ninao wakubali kama rev mtikila, philp mangula, Ayub Ryoba, Reginald Mengi, Dr azaveli Lwaitama, Prof Sith Chechege RIP, Fidelis Mutabazi, Felichismo Fredrick, ila japo wapo kimya kuhusu hili la CDU ina imani na wao litakuwa linawasungua mbongo zao.Kuna waislam ambao nawakubali kama Isa Shvji,Idrisa Rajabu,Bashiru Ally,SAED KUBENEA, and their like ambao wamefunguka macho na kujua kinachoendela ila kina Sokomoko sijui watamka lini.