Elections 2010 Slaa kuzuiwa kugombea urais?

Anachofanya Dr Slaa mimi naweza ita ni extension ya Operation Sangara, yaani Dr na wenzie wanachofanya ni kuwafungua macho watanzania ili waweze kufanya maamuzi sahihi mwezi October! si mnajua ukirusha jiwe gizani ukisikia aaiii ujuwe limempata! hahah CCM jiwe limewapata sasa wanatafuta pa kudekea, CCM is like a spoilt child, kila akigusa basi ni mbio kwa baba kulalamika! Mambo haya walianza wenyewe CCM, what chadema is doing is just giving CCM the test of its own medicine!

Ndugu Kilembwe,

Nakubaliana nawe kabisa. CCM waache woga, tulieni tu. Hiyo ni mikutano ya kawaida ya CHADEMA, mbona wakati wa operation Sangara hawakusema kuwa Chadema wameanza kampeni. Ngoja achukue fomu ndipo muanze kusema. HIZO NI RASHA RASHA TU, MVUA YENYEWE YAJA
 
ni kitambo sasa tangu nimejiunga na hii forum kama memba, sijawahi ona mwanajamvi kilaza kama MS, yaaaani haelewi hata kusoma na kutafsiri mambo mepesi kama haya, kweli JF inapita kwenye wakati mgumu kama great thinkers wenyewe ndio kama huyu MS, kifupi huyu ndio mwanajamvi mwenzetu mwenye matatizo zaidi kifikra.
Wakuu kuna kitu hamjakigundua lakini ukweli ni kuwa MS anawapiga bao sana wana JF wengi. Anachofanya ni kudivert attention ya mjadala na kuwaondoa kabisa kwenye mada, kwa hilo amefanikiwa sana na hii ni kwa sababu wengi mnakubali kuacha mada na kuingia kwenye kumi na nane zake.
Nawashauri wana JF kama mnajadili mada halafu akaingia kati just ignore him na endeleeni na mada, mkimfanyia hivyo mara kadhaa ataacha. But as for now strategy yake ina mafanikio makubwa sana!!
 
Mzitto amekosea tu padogo, hajadanganya!

Nipeni mitano mingine 'nifunike' zaidi-Kikwete


MGOMBEA pekee wa urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM, Rais Jakaya Kikwete ameomba apewe nafasi ya kuongoza nchi kwa miaka mitano mingine ili afanye kazi aliyoianza vizuri zaidi kuliko ilivyokuwa awamu ya kwanza.

Rais Kikwete ameyasema hayo jana kwenye Makao Makuu ya Chama Cha Mapinduzi mjini hapa, wakati aliporejesha fomu yake ya kuomba uteuzi wa chama hicho kwa ajili ya kupeperusha bendera yao katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 31, mwaka huu.

Rais Kikwete aliyewasili saa 5:06 katika Viwanja vya Makao Makuu ya CCM, alipokelewa na viongozi mbalimbali wa chama wakiongozwa na Makamu Mwenyekiti Tanzania Bara, Pius Msekwa huku akishangiliwa na wanachama wa CCM waliokuwa wamevalia mavazi ya rangi ya kijani na njano.

Alilakiwa na vikundi mbalimbali vya burudani huku wakiimba nyimbo za kumsifu na kumpongeza Rais Kikwete wakiongozwa na bendi ya TOT chini ya Kapteni John Komba.

Alipofika sehemu aliyopangiwa, Rais Kikwete alipokewa na Msimamizi Mkuu wa Uchaguzi na Katibu Mkuu wa CCM, Yusuf Makamba aliyezihakiki fomu za mgombea huyo na kuridhia kuwa zilijazwa kwa umakini na kisha kuzipokea rasmi fomu hizo na kuthibitisha ndiye mgombea pekee.

Akizungumza muda mfupi baada ya kukabidhi fomu zake, Rais Kikwete ambaye atapigiwa kura na wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM, Julai 10, alisema kipindi cha miaka mitano kimekwisha na alifanya kazi nzuri na kuomba apewe nafasi ya miaka mitano mingine ili afanye kazi nzuri zaidi.

"Kazi ya Urais haina elimu ni kujiamini au kuaminiwa. Nimefanya kazi miaka mitano, miaka miwili ilikuwa ya kujifunza na miaka mitatu nikafanya kazi nzuri mnayoiona, mkinipa sasa miaka mingine mitano haitakuwa ya kujifunza ila kufanya kazi nzuri zaidi…naahidi mkinichagua nitafanya kazi vizuri kuliko awamu ya kwanza," alisema Rais Kikwete.

Alisema wenye sifa ya kugombea nafasi hiyo ya urais ndani ya CCM ni wengi na hawana mapungufu, lakini hakuna aliyejitokeza kwa kile alichoeleza kumheshimu na kuwa na imani na uongozi wake.

Alisema ni imani yake kwamba Kamati Kuu ya CCM na Halmashauri Kuu ya Taifa itampitisha katika Mkutano Mkuu kama mgombea wao na kwamba matumaini Watanzania watamchagua tena.

"Mafiga matatu yalitusaidia uchaguzi uliopita, nasema yatatusaidia tena. Nawaomba wanachama wenzangu mniunge mkono na kunichagua ili nifanye kazi hii tena," alisema Rais Kikwete ambaye akichukua fomu Juni 21, mwaka huu, aliahidi kuwa akichaguliwa tena, atawatumikia Watanzania kwa Ari Zaidi, Nguvu Zaidi na Kasi Zaidi ili kuwaletea maisha bora.

Rais Kikwete alimshukuru kipekee mtoto wake, Ridhiwani kwa kushirikiana na wenzake kutembeza fomu nchi nzima kumtafutia wadhamini na kuonesha kushangazwa na watu waliokuwa wakihoji kwa nini amemtumia mwanawe kufanya kazi hiyo.

"Wako waliouliza kwa nini Ridhiwani, na mimi nikauliza kwa nini asiwe Ridhiwani. Nataka kusema kugombea urais ni jambo nililoamua mwenyewe sio chama, kwa hiyo lazima nifanye juhudi zangu binafsi kutafuta wadhamini kwa hiyo kumtumia mwanangu ambaye ni mtu wa karibu…halikuwa tatizo," alifafanua Rais Kikwete akizungumzia timu hiyo ya vijana 32 iliyoongozwa na mwanawe.

Alisema wako watu waliodai amewadharau viongozi wa wilaya, kata na vijiji, hoja aliyoipinga na kueleza kuwa jukumu la viongozi hao ni kuandaa watu watakaomdhamini, lakini jukumu la kuzunguka kutembeza fomu kuomba udhamini ni la mgombea, hivyo anamshukuru Ridhiwani, marafiki zake na vijana kwa kubeba mzigo huo na kufanya kazi nzuri.

Alisema hatasahau wema na mchango wa kila mtu wakiwemo marafiki zake walioongoza vijana kutafuta wadhamini pamoja na Katibu Mkuu wa CCM, makatibu wa mikoa, wilaya, kata na matawi kwa kuandaa wanachama waliomdhamini na kwamba pale walipopunguza, wataongezewa na Mungu.

Naye Makamba alisema alishatabiri siku ya kwanza kuwa dalili zilikuwa zinaonesha Kikwete ndio mgombea pekee.

"Tangu ulipojitokeza siku ya kwanza nilikutabiria kuwa mgombea pekee na kweli nimekaa hapa kusubiri wee hakuna aliyetokea na hasa baada ya mtani wangu John Shibuda kuondoa nia yake ya kugombea kwa ridhaa yake kutokana na kuridhika na utendaji wako na utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi…utabiri huo leo umethibitika," alisema.

Alisema hakuna mwanachama aliyejitokeza hivyo ni uthibitisho kuwa wameridhika na utendaji kazi wake, imani waliokuwa nayo kwake na kwamba upo ushahidi wa kutosha ndiye mgombea pekee atakayepitishwa katika Uchaguzi Mkuu kwa kile alichomueleza kuwa ni mtaji wa CCM.

Katika hatua nyingine, Makamba alimfananisha Kikwete na Askofu ambaye ni mtumishi wa Mungu na kueleza kuwa kiongozi huyo ana sifa kama kiongozi huyo wa dini na kwamba anaamini anazo sifa za uanachama ambazo ni uongozi bora, hivyo kuna kila sababu ya kumchagua.

"Kwa miaka mitano umeonesha umahiri mkubwa, na nataka kukuambia kazi ya kukurudisha Ikulu ina wenyewe. Nawaambia wenzangu Rais wa Jamhuri ya Muungano ni Jakaya," alisema na kuongeza kuwa uthibitisho mwingine ni wadhamini 14,069 aliowapata wakati alitakiwa kuwa nao 2,500 tu.

Wanachama wa CCM Makao Makuu katika risala yao iliyosomwa na Adamson Mwenesongole, walimpongeza Rais Kikwete kwa kusimamia na kutekeleza Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya 2005-2010.

Walisema kitendo cha wanachama wengine kumuacha agombee ni kutokana na uaminifu na uadilifu wake na kuahidi kuungana naye kumpigia pipa badala ya debe ili apate ushindi wa kishindo.

Wanafunzi wa Vyuo vya Elimu ya Juu Tanzania katika tamko lao, waliomba wanafunzi wote wamuunge mkono Kikwete kwa kupiga kura za ndio kwa maendeleo ya chama na taifa kwa ujumla.

Naye Mbunge wa Maswa, John Shibuda aliyeondoa nia yake ya kugombea urais, alisema alijiondoa baada ya kufanya upembuzi yakinifu na kuridhika na utendaji wa Rais Kikwete na kuongeza kuwa kamwe upepo hauwezi kuung'oa mchongoma na kwamba hiyo ndio salamu yake kwa wapinzani.

limchangia Rais Kikwete Sh 200,000 kwa ajili ya shughuli za uchaguzi ujao.
So hapa Werema atasemaje?? JK alikuwa hapigi Kampeni...Mwambieni aache ujinga bana[/QUOTE]
 
Wakuu kuna kitu hamjakigundua lakini ukweli ni kuwa MS anawapiga bao sana wana JF wengi. Anachofanya ni kudivert attention ya mjadala na kuwaondoa kabisa kwenye mada, kwa hilo amefanikiwa sana na hii ni kwa sababu wengi mnakubali kuacha mada na kuingia kwenye kumi na nane zake.
Nawashauri wana JF kama mnajadili mada halafu akaingia kati just ignore him na endeleeni na mada, mkimfanyia hivyo mara kadhaa ataacha. But as for now strategy yake ina mafanikio makubwa sana!!
You are very clever mr Chesty unfortunately it is very few people who knows that, MS is very smart guy he is playing people's minds and if you are not care enough you can't understand him. Myself i know what MS is trying to achieve, that is why sometimes i went off topic and act onto him accordingly.
 
Gimme a break, kwani JK alipokuwa anazungumzia the so called "mafanikio ya serikali ya awamu ya nne" ilikuwa ni kwa ajaili ya nini? I do not see how that relates na kuomba wadhamini................
 
Cha Msingi ni kuhamasisha wale waliomdhamini wapige kura, na wao wawashawishi wengine wapige kura
 
Naona mwanasheria mkuu wa serikali naye kaamua kukomalia hilo. Kwa kuwa tayari amekuwa threat lazima yataibuka mengi. Mbona siku zote walikuwa hawasemi, badala yake wamesubiri hadi siku ya mwisho ya kutafuta wadhamini ndo waseme hayo? Ila Kiravu anaonekana kutetea sasa sijui tusubiri. CCM hawakosi visa.

Gazeti la habari leo limeandika hivi:

Source: Habari leo

Nipeni mitano mingine 'nifunike' zaidi-Kikwete
Imeandikwa na Angela Semaya, Dodoma; Tarehe: 1st July 2010 @ 23:59 Imesomwa na watu: 672; Jumla ya maoni: 10


MGOMBEA pekee wa urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM, Rais Jakaya Kikwete ameomba apewe nafasi ya kuongoza nchi kwa miaka mitano mingine ili afanye kazi aliyoianza vizuri zaidi kuliko ilivyokuwa awamu ya kwanza.

Rais Kikwete ameyasema hayo jana kwenye Makao Makuu ya Chama Cha Mapinduzi mjini hapa, wakati aliporejesha fomu yake ya kuomba uteuzi wa chama hicho kwa ajili ya kupeperusha bendera yao katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 31, mwaka huu.

Rais Kikwete aliyewasili saa 5:06 katika Viwanja vya Makao Makuu ya CCM, alipokelewa na viongozi mbalimbali wa chama wakiongozwa na Makamu Mwenyekiti Tanzania Bara, Pius Msekwa huku akishangiliwa na wanachama wa CCM waliokuwa wamevalia mavazi ya rangi ya kijani na njano.

Alilakiwa na vikundi mbalimbali vya burudani huku wakiimba nyimbo za kumsifu na kumpongeza Rais Kikwete wakiongozwa na bendi ya TOT chini ya Kapteni John Komba.

Alipofika sehemu aliyopangiwa, Rais Kikwete alipokewa na Msimamizi Mkuu wa Uchaguzi na Katibu Mkuu wa CCM, Yusuf Makamba aliyezihakiki fomu za mgombea huyo na kuridhia kuwa zilijazwa kwa umakini na kisha kuzipokea rasmi fomu hizo na kuthibitisha ndiye mgombea pekee.

Akizungumza muda mfupi baada ya kukabidhi fomu zake, Rais Kikwete ambaye atapigiwa kura na wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM, Julai 10, alisema kipindi cha miaka mitano kimekwisha na alifanya kazi nzuri na kuomba apewe nafasi ya miaka mitano mingine ili afanye kazi nzuri zaidi.

"Kazi ya Urais haina elimu ni kujiamini au kuaminiwa. Nimefanya kazi miaka mitano, miaka miwili ilikuwa ya kujifunza na miaka mitatu nikafanya kazi nzuri mnayoiona, mkinipa sasa miaka mingine mitano haitakuwa ya kujifunza ila kufanya kazi nzuri zaidi…naahidi mkinichagua nitafanya kazi vizuri kuliko awamu ya kwanza," alisema Rais Kikwete.

Alisema wenye sifa ya kugombea nafasi hiyo ya urais ndani ya CCM ni wengi na hawana mapungufu, lakini hakuna aliyejitokeza kwa kile alichoeleza kumheshimu na kuwa na imani na uongozi wake.

Alisema ni imani yake kwamba Kamati Kuu ya CCM na Halmashauri Kuu ya Taifa itampitisha katika Mkutano Mkuu kama mgombea wao na kwamba matumaini Watanzania watamchagua tena.

"Mafiga matatu yalitusaidia uchaguzi uliopita, nasema yatatusaidia tena. Nawaomba wanachama wenzangu mniunge mkono na kunichagua ili nifanye kazi hii tena," alisema Rais Kikwete ambaye akichukua fomu Juni 21, mwaka huu, aliahidi kuwa akichaguliwa tena, atawatumikia Watanzania kwa Ari Zaidi, Nguvu Zaidi na Kasi Zaidi ili kuwaletea maisha bora.

Rais Kikwete alimshukuru kipekee mtoto wake, Ridhiwani kwa kushirikiana na wenzake kutembeza fomu nchi nzima kumtafutia wadhamini na kuonesha kushangazwa na watu waliokuwa wakihoji kwa nini amemtumia mwanawe kufanya kazi hiyo.

"Wako waliouliza kwa nini Ridhiwani, na mimi nikauliza kwa nini asiwe Ridhiwani. Nataka kusema kugombea urais ni jambo nililoamua mwenyewe sio chama, kwa hiyo lazima nifanye juhudi zangu binafsi kutafuta wadhamini kwa hiyo kumtumia mwanangu ambaye ni mtu wa karibu…halikuwa tatizo," alifafanua Rais Kikwete akizungumzia timu hiyo ya vijana 32 iliyoongozwa na mwanawe.

Alisema wako watu waliodai amewadharau viongozi wa wilaya, kata na vijiji, hoja aliyoipinga na kueleza kuwa jukumu la viongozi hao ni kuandaa watu watakaomdhamini, lakini jukumu la kuzunguka kutembeza fomu kuomba udhamini ni la mgombea, hivyo anamshukuru Ridhiwani, marafiki zake na vijana kwa kubeba mzigo huo na kufanya kazi nzuri.

Alisema hatasahau wema na mchango wa kila mtu wakiwemo marafiki zake walioongoza vijana kutafuta wadhamini pamoja na Katibu Mkuu wa CCM, makatibu wa mikoa, wilaya, kata na matawi kwa kuandaa wanachama waliomdhamini na kwamba pale walipopunguza, wataongezewa na Mungu.

Naye Makamba alisema alishatabiri siku ya kwanza kuwa dalili zilikuwa zinaonesha Kikwete ndio mgombea pekee.

"Tangu ulipojitokeza siku ya kwanza nilikutabiria kuwa mgombea pekee na kweli nimekaa hapa kusubiri wee hakuna aliyetokea na hasa baada ya mtani wangu John Shibuda kuondoa nia yake ya kugombea kwa ridhaa yake kutokana na kuridhika na utendaji wako na utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi…utabiri huo leo umethibitika," alisema.

Alisema hakuna mwanachama aliyejitokeza hivyo ni uthibitisho kuwa wameridhika na utendaji kazi wake, imani waliokuwa nayo kwake na kwamba upo ushahidi wa kutosha ndiye mgombea pekee atakayepitishwa katika Uchaguzi Mkuu kwa kile alichomueleza kuwa ni mtaji wa CCM.

Katika hatua nyingine, Makamba alimfananisha Kikwete na Askofu ambaye ni mtumishi wa Mungu na kueleza kuwa kiongozi huyo ana sifa kama kiongozi huyo wa dini na kwamba anaamini anazo sifa za uanachama ambazo ni uongozi bora, hivyo kuna kila sababu ya kumchagua.

"Kwa miaka mitano umeonesha umahiri mkubwa, na nataka kukuambia kazi ya kukurudisha Ikulu ina wenyewe. Nawaambia wenzangu Rais wa Jamhuri ya Muungano ni Jakaya," alisema na kuongeza kuwa uthibitisho mwingine ni wadhamini 14,069 aliowapata wakati alitakiwa kuwa nao 2,500 tu.

Wanachama wa CCM Makao Makuu katika risala yao iliyosomwa na Adamson Mwenesongole, walimpongeza Rais Kikwete kwa kusimamia na kutekeleza Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya 2005-2010.

Walisema kitendo cha wanachama wengine kumuacha agombee ni kutokana na uaminifu na uadilifu wake na kuahidi kuungana naye kumpigia pipa badala ya debe ili apate ushindi wa kishindo.

Wanafunzi wa Vyuo vya Elimu ya Juu Tanzania katika tamko lao, waliomba wanafunzi wote wamuunge mkono Kikwete kwa kupiga kura za ndio kwa maendeleo ya chama na taifa kwa ujumla.

Naye Mbunge wa Maswa, John Shibuda aliyeondoa nia yake ya kugombea urais, alisema alijiondoa baada ya kufanya upembuzi yakinifu na kuridhika na utendaji wa Rais Kikwete na kuongeza kuwa kamwe upepo hauwezi kuung'oa mchongoma na kwamba hiyo ndio salamu yake kwa wapinzani.

limchangia Rais Kikwete Sh 200,000 kwa ajili ya shughuli za uchaguzi ujao.
Huu si uhuni huu wa CCM na Vibaraka wake
 
KWININI can you humbly try to stop the words you call other members of the forum? be a man(AM SORRY IF YOU ARE "SHE")and remember kuna kizazi kisichohitaji maneno makali yenye kushindwa kutamkwa mtu akaribiapo ibada......! BACK TO THE POINT.....KISEMWACHO CHAWEZA TOKEA......NA IKAWA NI PIGO KWA WATU WALIOWEKA TUMAINI KWA MTU MMOJA......!
 
Cha Msingi ni kuhamasisha wale waliomdhamini wapige kura, na wao wawashawishi wengine wapige kura

Sio wapige kura tu bali washawishiwe kwanini wampigie kura Dr. Slaa.

Watafaidika vipi maishani mwao kwa kuiondoa CCM na kuiweka Chadema madarakani?

Kwa sababu si wote waliomdhamini watampigia kura Dr. Slaa, watanzania ni wakarimu sana na uwa hawakatai kumdhamini mtu wakiombwa lakini kwenye kupiga kura ndipo wanaposema na mioyo yao.
 
KWININI can you humbly try to stop the words you call other members of the forum? be a man(AM SORRY IF YOU ARE "SHE")and remember kuna kizazi kisichohitaji maneno makali yenye kushindwa kutamkwa mtu akaribiapo ibada......! BACK TO THE POINT.....KISEMWACHO CHAWEZA TOKEA......NA IKAWA NI PIGO KWA WATU WALIOWEKA TUMAINI KWA MTU MMOJA......!
Acha kulialia weka hapa hayo maneno kila mtu ayaone, kama kuambiwa ukweli ni maneno mabaya nitaendelea kusema. Nyie watu wa kijani bado mna kasumba ya chama kimoja mkiambiwa ukweli yanakuwa maneno mabaya kwenu. Juzi Chadema wamefanya mkutano pale jangwani mmesema wameanza kampeni wakati nyie mlifanyia palepale.
 
KWININI can you humbly try to stop the words you call other members of the forum? be a man(AM SORRY IF YOU ARE "SHE")and remember kuna kizazi kisichohitaji maneno makali yenye kushindwa kutamkwa mtu akaribiapo ibada......! BACK TO THE POINT.....KISEMWACHO CHAWEZA TOKEA......NA IKAWA NI PIGO KWA WATU WALIOWEKA TUMAINI KWA MTU MMOJA......!


it 'll be blood,I guees !

And to refresh your mind and Warema's freacking mind :kikwete did the same ,so do Slaa that means whatever action planned for Slaa they have to think to do the same to mkwere.
Ila ukiniuliza kuna yeyote amekosea nitasema hapana kwa kuwa mtu lazima utoe ushawishi wa kupata wadhamini inturn inaonekana kama kampeni .Jamaa wanavyolialia ndio wanampa umaarufuzaidi.
 
zito wa chadema, kashakuwa mpinzani wa slaa. duh bora zito atimke tu

unashindwa kuelewa nini hapa ,hakuna kitu kama zitto mpinzani wa slaa,unapindisha maneno kwa nguvu au ni umbumbumbu wako wa kuelewa wengine wanaweza kukuita juha.Kwa wanao fagilia majuha wameshakuita celebrete wa JF
 
Ili mradi tume ikiamua ku-audit mambo ya vyama vyote fairly mimi sitakuwa na tatizo nao. Je, mabango ya CCM ya kumnadi kikwete kuchaguliwa 2010 ambayo yametapakaa Dodoma nzima nayo si kampeni kabla ya wakati? Tume iwe firm but fair tuone nani atasimama!!!!
 
Ukipita kuomba watu wakudhamini ni lazima uwape sababu za kukudhamini. Uwaambie ni nini utafanya ili wakubali kukudhamini. Kama hiyo ni kukampeni, basi ni kukampenia kudhaminiwa. Ni lazima mwananchi aambiwe ni kwa nini akudhamini wewe na sio yule.

CCM wanajua hawataweza kumshinda Dr. Slaa kwa hoja. Wana hoja gani ya kuleta maendeleo? Hawana! Wamekuwepo madarakani miak 50 bila kuweza. Miaka 5 zaidi itasaidaje? Tegemeo lao ni kutumia mbinu za kifisadi kama hizi za kumtumia Mwanasheria Mkuu kusema CHADEMA imevunja sheria. They will try to stop Dr Slaa, AT ANY COST!

Kilichobaki ni wananchi kujiuliza: Tutatawaliwa kwa nguvu na CCM mpaka lini? Kama alivyosema mmoja hapa, uvumilivu una mipaka yake.

Nimefurahi kuona CHADEMA ikiahidi kwamba chini ya uongozi wao, tutaweza kujadili katiba mpya mapema sana. Katiba itakayowafanya watu kama AG kuwa watu huru na sio vibaraka wa chama tawala. CCM wanakataa majadiliano ya katiba mpya kwa madai kwamba hakuna jipya kubwa lililotokea. Katiba yetu ni ya 1999. Iliundwa chini ya chama kimoja. Mfumo wa vyama vingi sio badiliko tosha la kuweza kujadili katiba?

Watanzania wanaona jinsi majirani zao wa Kenya walivyojiamulia wenyewe katiba yao. Lazima CCM ijue haiwezi kuendelea kutumia katiba mbovu kukandamiza wananchi milele.

Kaza buti Kamanda wetu Slaa. Hawa CCM wameanza kutapatapa.
 
Ukipita kuomba watu wakudhamini ni lazima uwape sababu za kukudhamini. Uwaambie ni nini utafanya ili wakubali kukudhamini. Kama hiyo ni kukampeni, basi ni kukampenia kudhaminiwa. Ni lazima mwananchi aambiwe ni kwa nini akudhamini wewe na sio yule.

CCM wanajua hawataweza kumshinda Dr. Slaa kwa hoja. Wana hoja gani ya kuleta maendeleo? Hawana! Wamekuwepo madarakani miak 50 bila kuweza. Miaka 5 zaidi itasaidaje? Tegemeo lao ni kutumia mbinu za kifisadi kama hizi za kumtumia Mwanasheria Mkuu kusema CHADEMA imevunja sheria. They will try to stop Dr Slaa, AT ANY COST!

Kilichobaki ni wananchi kujiuliza: Tutatawaliwa kwa nguvu na CCM mpaka lini? Kama alivyosema mmoja hapa, uvumilivu una mipaka yake.

Nimefurahi kuona CHADEMA ikiahidi kwamba chini ya uongozi wao, tutaweza kujadili katiba mpya mapema sana. Katiba itakayowafanya watu kama AG kuwa watu huru na sio vibaraka wa chama tawala. CCM wanakataa majadiliano ya katiba mpya kwa madai kwamba hakuna jipya kubwa lililotokea. Katiba yetu ni ya 1999. Iliundwa chini ya chama kimoja. Mfumo wa vyama vingi sio badiliko tosha la kuweza kujadili katiba?

Watanzania wanaona jinsi majirani zao wa Kenya walivyojiamulia wenyewe katiba yao. Lazima CCM ijue haiwezi kuendelea kutumia katiba mbovu kukandamiza wananchi milele.

Kaza buti Kamanda wetu Slaa. Hawa CCM wameanza kutapatapa.

Hivi huyo mwanasheria Mkuu hajaziona picha na mabango ya JK mitaani? au zile T-shirts Kikwete 2010??
 
Wakuu I have an Idea, kama kuna mtu ana emails za hawa watu CJ, Tendwa, Kiravu tuwatumie picha na videos za ushahidi kuhusu muungwana kuanza kampeni mapema!!!!!!!!!!
 
Wakuu I have an Idea, kama kuna mtu ana emails za hawa watu CJ, Tendwa, Kiravu tuwatumie picha na videos za ushahidi kuhusu muungwana kuanza kampeni mapema!!!!!!!!!!
Good idea naongeza kama kuna mtu ana picha ya mabango ya CCM kule Dodoma yanayosema CHAGUA KIKWETE CHAGUA CCM atuletee humu tusaidiane kufikisha ujumbe, au kama kuna mtu huko Dodoma ayapige picha atuletee pls, ikiwezekana tuyaweke kwenye post ya kwanza ya thread hii na jua wapo watakaopeleka ujumbe, Kikwete kasema hii ni vita sawa na vita vingine na sisi ni vijana tunaowezesha mapigano upande wa pili.
 
AG Werema hawezi "kumpenda" Dr Slaa hata kidogo. Mnakumbuka AG alivyochomeka baadhi ya vifungu kwenye sheria mpya ya uchaguzi na Rais wetu akaisaini kisha Dr Slaa akamuumbua? Kwa nchi za wenzetu hili lilitosha kumfanya AG ajiuzuru au asaidiwe kujiuzuru.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom