Slaa atoa jibu: Kikwete ndio anamlinda Mwema

kwa hiyo mkuu unataka kama wamekutana kwa jambo la barabara wazungumzie mauaji ya raia? Kweli nyie ndo mnaoifanya siasa uadui. Unataka kwa mfano wakikutana kwenye mazishi waanze kuzungumzia mauaji ya raia? Kila jambo lina pahali pake

Naunga mkono hoja yako. Mdau anataka wakikutana kwenye sherehe ya uhuru, basi hapohapo Mbowe abadilishe somo na kumhoji raisi kuhusiana na mauaji!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Mwanakijiji
Hakuna raisi anayefanya maamuzi kwa mashinikizo ya wanasiasa uchwara kama Slaa; Raisi anafanya maamuzi yake kisheria na siku IGP Mwema akiharibu kazi ataondelewa; leo mnadai anamlinda shemeji atakayekuja mtasema ni mkwewe; hivi sasa IGP Mwema anafanya kazi yake vizuri sana; jeshi la polisi pamoja na uchache wao bado wanawajibika kulinda amani ya wananchi milioni 45; haya matukioa yote yanayohusisha watu kupoteza maisha yalikuwa ni matokeo ya wanaosiasa uchwara waliotaka kuiletea majaribu serikali.
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: CRN

una uhakika na unachosema? Wanapokutana kuna mengi sana wanayaoongea huwa off record. Wakati mwingine, (na inategemea na namna ya mikutano hiyo) huwa siyo mahali muafaka kuongea hayo. lakini ukweli ni kwamba kwa yale yanayokera baada ya muda mrefu wa ukimya wa jk, basi hapo ndipo akina slaa huyaweka hadharani.

Jk ni mtu anayependa sana eti matatizo yaishe kimya kimya tu na kuna siku tabia hii itakuja kumcost sana.



kumcost vipi tena nayeye ndio vile tena anaondoka??

Na katiba yenyewe lazima ahakikishe inakuja kumlinda
 
Twende mbele na kurudi nyuma,nikimuangalia vzr dr slaa kwenye huo mkutano akiongea,hua anaonekana ana uchungu na ari ya kulipa kisasi sana once atapochukua nchi,,je utawala wa sheria ni kweli utaimarishwa au na yeye atakuja na serikali ya kumlinda yeye na kuweka pamba maskion kama wenzake??

Siasa ni si hasa...!!
 
  • Thanks
Reactions: CRN
Hivi Zitto tayari kashakata tiket ya kwenda uswiss kula xmas?
 
Last edited by a moderator:
Hivi vyama vya haki za binadamu viko wapi? navyo visaidie kutetea wananchi dhidi ya madhila yanayofanywa na jeshi la Polisi, maana inaonekana wakiongea CDM inatafsrika kama SIASA na kujijenga kwa CDM.

Polisi wanaonea raia hili lipo wazi acha hayo anayoongelea DR SLAA au yanayoripotiwa na vyombo vya habari kuna mengine ya kimya kimya yanatia uchungu, hasa wale askari wanaozunguka na zile LANDROVER au LANDCRUISER wao suala la kumhukumu mtu sio la kujiuliza au kusubiri mahakama.
 
This story is overrated!! .... anamlinda kivipi? Na sifa za mtu kuwa jaji ni zipi?
Inawezekana wewe ni kipofu au kiziwi,ndio maana huoni yanayoandikwa wala kuzungumwa.kama kweli huoni jinsi police wanavyofanya kazi,na hujasoma yaliyoandikwa kuhusu sifa za majaji basi yafaa ufungwe jiwe la kusagia shingoni na ukatupwe baharini.
 
Mwanakijiji
Hakuna raisi anayefanya maamuzi kwa mashinikizo ya wanasiasa uchwara kama Slaa; Raisi anafanya maamuzi yake kisheria na siku IGP Mwema akiharibu kazi ataondelewa; leo mnadai anamlinda shemeji atakayekuja mtasema ni mkwewe; hivi sasa IGP Mwema anafanya kazi yake vizuri sana; jeshi la polisi pamoja na uchache wao bado wanawajibika kulinda amani ya wananchi milioni 45; haya matukioa yote yanayohusisha watu kupoteza maisha yalikuwa ni matokeo ya wanaosiasa uchwara waliotaka kuiletea majaribu serikali.
Kwa hiyo ndugu yangu kutoa uhai wa mtu ni kufanya kazi vizuri sana?
 
Last edited by a moderator:

Kwa haraka haraka, nilikosa jibu. Asante umetoa majibu mazuri

Haki ya kuishi ni haki ya kwanza........sio tu mazishini!!!!! Hata wakikutana maliwatoni kama wanakerwa wanatakiwa waseme........makaburini, chooni, bedroom, sokoni, kwenye basi yaaaani hata kaburini kama watazikwa pamoja wanatakiwa waseme tu......

Watu wanakufa we unasubiri appropriate venue or ocassion...................ndo ukombozi huuu unaozungumziwa!!!!????

Myfoot......hebu kuweni serious na maisha ya watu mnaowatumia kukwaa ngazi za kisiasa!!!!!!!!!!!!!!
 
Kwa hiyo ndugu yangu kutoa uhai wa mtu ni kufanya kazi vizuri sana?

Uhai wa mtu ulitolewaje kama sio mwanasiasa uchwara Slaa kusababisha? Polisi linafanya kazi yake vizuri cha msingi hao wanasiasa wenu uchwara waambieni wafuate sheria na taratibu nchi
 

Sijawahi kumsikia kiongozi ye yote wa Chadema baada ya kukutana ana kwa ana na Kikwete aliyewahi kumwuliza kulikoni mauaji haya, na mengineyo.
Huwa unakuwepo around wakikutana na kusikia wanachoongea? Unajuaje kama huwa hawamuulizi na najua huwa wanamuuliza na yeye kuishia kukenua meno tu kama zuzu.
 
kwa hiyo mkuu unataka kama wamekutana kwa jambo la barabara wazungumzie mauaji ya raia? Kweli nyie ndo mnaoifanya siasa uadui. Unataka kwa mfano wakikutana kwenye mazishi waanze kuzungumzia mauaji ya raia? Kila jambo lina pahali pake

Naunga mkono hoja yako. Mdau anataka wakikutana kwenye sherehe ya uhuru, basi hapohapo Mbowe abadilishe somo na kumhoji raisi kuhusiana na mauaji!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Dont you kid................hizo barabara wanapita kuku au mbuzi wakienda machungani??????

Say ni sherehe za uhuru.......ni wa miti....nyumba au viatu......???? Kama ni uhuru wa watu na Taifa lao then you have a departing point already...........

Hivi kwa nini linapokuja suala la weakness za viongozi huwa mnatetea kwa nguvu this much?????

Wanadai wao ni wana-ukombozi.....hebu tafuteni muone kina Biko Steve waliishi maisha gani??????

Ni kweli ya kuwa wanapokutana na mkuu wa nchi huwa wanamueleza kero zao za majukwaani kwa tone ile ya uchungu???? Kama ndio hebu tuhabarisheni sie akina tomaso ni lini na wapi mkulu alipewa vilio vyetu ana kwa ana na akatia pamba masikioni........au hili ni siri???? If yes why????

Maji ya moto kweli hayachomi nyumba lakini akimwagiwa mwenye nyumba atajua maana ya maji moto........je kamwagiwa maji moto mwenye nyumba??????? Lini na wapi???? Ilikuwa juu ya nini??????

Eti hatuwezi kummwagia maji ya moto popote tutapomuona....tunasubiri appropriate venue and/ or ocassion......sad!!! Kwa huku kitaa ni sawa na kusema; Tunasubiri aingie kwenye kumi na nane zetu............serious joke...!!!!!!

Wanasema chura kweli anapenda maji ila sio ya moto
Most politicians like to speak and when they are real needed to speak they often do not do so ............
 
Hv mnataka kutuamisnisha kuwa watu wazuri wako chadema peke yake? sijawahi kuona wapinzani wa tanzania walivyomaskini wa mawazo kama hawa hawajuwi hata nn waongee kwa wakati gani na wamweleze nani hawatatufikisha popote kwa staili hii.
 
Huwa unakuwepo around wakikutana na kusikia wanachoongea? Unajuaje kama huwa hawamuulizi na najua huwa wanamuuliza na yeye kuishia kukenua meno tu kama zuzu.


1. Mzee be objective.........kuna rumour kuwa kuna kiongozi alipewa suit and wat wat ........were you there to witness the delivery??????? Ila wote tunasema kama ni kweli then alipotoka.......

2. It is a news now kuna hela Uswisi na ziko huko kimakosa (baadhi) ....have you been in one of the banks to see the statement?????.........ila kwa umoja wetu tunazitaka hizo fedha zije huku sie wa vijijini tuondokane na adha ya kukosa uroda alfajiri kisa mke anawahi maji kisimani!!!!!!!!!!!!!!!!

3. Kila mwaka kuna ujenzi wa barabara allover the country......kwa pesa ya kodi yako......have you ever seen the BOQ?????.......but we all travel on these roads


Then why the hell do you want everybody to be there during their dialogues?????
 
b2.jpg


Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Mbunge wa Hai na Kiongozi wa Upinzani Bungeni na Mwenyekiti wa CHADEMA Mhe Freeman Mbowe katika eneo la sherehe za uzinduzi wa ujenzi wa barabara ya Kwa Sadala-Masama wilayani hai leo Jumatano Oktoba 31, 2012. Katika salamu zake, Mbowe alimsifia rais Kikwete ambayue pia ni Mwenyekiti wa CCM, Kwa kutimiza ahadi yake

@&@&@&@&@&@&@&@&@&@&@&@&@


Nakumbuka ngoma ya Lizombe maarufu kule mkoani Ruvuma enzi hizo sijui kama wangali wanaimba hivyo hadi leo;
"Nikiwepo mwenyewe machoni hamnisemi, nikionoka kidogo nyuma mwanisengenya."
Hawa viongozi wa Chadema wakutanapo na Kikwete ni kuchekacheka kama yeye na kumsifia oh umejenga barabara nchi nzima kama kamanda Mbowe alivyomsifia hivi karibuni jimboni kwake Hai na sifa nyingi za kumvimbisha kichwa, lakini matatizo mengine kama hayo katu hawathubutu kuyaibua mbele yake.

Sijawahi kumsikia kiongozi ye yote wa Chadema baada ya kukutana ana kwa ana na Kikwete aliyewahi kumwuliza kulikoni mauaji haya, na mengineyo.
Leo ni siku ya Ukimwi Duniani kwahiyo kiongozi wa Chadema akikutana na JK aongelee mauwaji ya Arusha? siamini kama wewe ndio umekuja na hoja dhaifu kama hii.
 
Mabingwa wa kutengeneza uongo tupeni burudani sawa hiyo tumeisikia leteniuongo mwingine
 
Tumeshaanza kuwa na wasiwasi na cdm kwamba inahamasisha mauaji ili ikisingizia serikali ili ichukiwe na wananchi
 
Katika watu wanauchungu na nchi hii na hawana maslahi mengine zaidi ya Watanzania kwangu mimi ni Dr. Slaa na muheshimiwa Tundu Lisu! Tafadhali sana waJF huu ni mtazamo wangu!!
 
Back
Top Bottom