.........anaacha kumshangaa ROSE KAMILI anamshanga KINANA ......nasi tutamshangaa 2015...mwanamume mzima unakaa kushangaa wanaume wenzako alafu bado utasikia ni dr.......ukisoma cv ndiyo utajua ni zile zile phd za Kipaimara....nyambafu...
Kwenye hili, inaelekea hujui unachoongea! mengine ni maoni yako ni vema tukayaheshimu. Swala la elimu you must have been lazy when others were going to school! unalinganisha na zile PhD za takrima mlizonazo?