Slaa amshangaa Kinana

Slaa amshangaa Kinana

Mtanke

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2011
Posts
804
Reaction score
2,059
Katibu Mkuu wa CHADEMA Dr. Wilbrod Slaa amemshangaa Katibu Mkuu wa CCM Abdurahman Kinana kwa kuanza kulalamika kuhusu bei za Korosho, Ufisadi wakati Chama chake ndicho chenye serikali. Dr Slaa anasema ni bora CCM ikawa upinzani na yenyewe badala ya kuwahadaa wananchi.

Aidha amewashangaa watu wanaodai majina ya mafisadi wakati yeye alishawasilisha kwa DPP majina na akaunti za Mafisadi na watia sahihi wa akaunti hizo lakini serikali imekaa kimya hadi leo.

Slaa pia amewashangaa watu wanaodai CHADEMA ina makundi kwani huo ni uzushi usio na maana na CHADEMA haina muda huo wa kupoteza. Kazi ni moja tu ya kujenga Chama na wakati uchaguzi wa ndani ya Chama ukiwa unaendelea rushwa haitavumilika ndani ya CHADEMA hata kidogo.

Slaa ameyasema hayo katika Baraza la Mashauriano la Mkoa wa Kagera ambalo pia lilihudhuriwa na Wenyeviti na Makatibu wote wa Mikoa wa CHADEMA.
 
safi sana mzee wangu dk slaa Mungu akubariki akupe na ulinzi pia nakushukuru majuzi ukiwa unaelekea arusha tulikutana himo njia panda na kwa upendo wako ukanipungia mkono kwa kwel nilifarijika sana kupungiwa mkono na raisi wangu
 
majibu ya mafupi kabisa yenye maana kubwa..

yani huyo ndio Dr. wa Ukweli na hii kauli ni fimbo kwa CCM. kauli ya kinana ni sawa na baba kuwaeleza watoto wake kuwa mke wake anatoka nje ya ndoa wakati analala naye kila siku bila ya kumuwajibisha.
 
Dr natoa machozi hasa nikiona upuuzi wa magamba..pamoja sana.
 
.........anaacha kumshangaa ROSE KAMILI anamshanga KINANA ......nasi tutamshangaa 2015...mwanamume mzima unakaa kushangaa wanaume wenzako alafu bado utasikia ni dr.......ukisoma cv ndiyo utajua ni zile zile phd za Kipaimara....nyambafu...
 
.........anaacha kumshangaa ROSE KAMILI anamshanga KINANA ......nasi tutamshangaa 2015...mwanamume mzima unakaa kushangaa wanaume wenzako alafu bado utasikia ni dr.......ukisoma cv ndiyo utajua ni zile zile phd za Kipaimara....nyambafu...

Kwa hiyo wewe huoni kuwa ni jambo la kushangaza kwa wana CCM kuilalamikia wakati serikali wakati wao ndiyo serikali. Inaelekea mwenzetu thinking ability yako iko impared au propaganda zimekuzidia.
 
Hapa ni sawa na kusema ndani ya ccm nyenyewe kuna vyama viwili. Kinachoshikilia serikali na pinzani kinachoilalamikia serikali dhidi ya uovu kwa raia. Kama huku sio kuzuga, basi yafaa jambo hili liingizwe kwenye maajabu ya dunia.
.
 
.........anaacha kumshangaa ROSE KAMILI anamshanga KINANA ......nasi tutamshangaa 2015...mwanamume mzima unakaa kushangaa wanaume wenzako alafu bado utasikia ni dr.......ukisoma cv ndiyo utajua ni zile zile phd za Kipaimara....nyambafu...

Ulitaka amshangae cha nazi!!? huyo kesha ambiwa hana hisia!!
 
CCM haina cha kuwaeleza wananchi. Tusibiri tuone jinsi watakyo endelea kupayuka ktk ziara ya mikoani/wilayani.
 
baadae atalaumu na wanaosafirisha vipusa kwenda hongkong,kweli kinana anaumwa gichwa!
 
inawezekana wewe ndio ukawa nyambafu.........au kenge mvusha watu mtoni, kwasababu wote waliosome hiin mada wana akili timamu na wameielewa sasa wewe huna akili timam ndio maana unabaki hivyo ulivyo na kauli zako. tukutane 2015

.........anaacha kumshangaa ROSE KAMILI anamshanga KINANA ......nasi tutamshangaa 2015...mwanamume mzima unakaa kushangaa wanaume wenzako alafu bado utasikia ni dr.......ukisoma cv ndiyo utajua ni zile zile phd za Kipaimara....nyambafu...
 
Mujarafu tafuta kibarua cha kufanya kwani shule ndio mgogoro. Nendeni shule muweze kumudu mapigo. Huyu ni Dk wa kweli sio huyu wa kupewa kwa fadhila. Mlichezea Elimu angalia mnavyoumbuka. Tulisema tusiwe na muda wa watu wanaojaza nafasi humu kwenye JF lakini walitakiwa wachangie mada za kindergaten. nadhani hata njaa imechangia mpeni buku 2 (hawalipwi zaidi ya mlo hawa)
 
.........anaacha kumshangaa ROSE KAMILI anamshanga KINANA ......nasi tutamshangaa 2015...mwanamume mzima unakaa kushangaa wanaume wenzako alafu bado utasikia ni dr.......ukisoma cv ndiyo utajua ni zile zile phd za Kipaimara....nyambafu...

Kuna mtu alisema majina yanabeba tabia za watu sasa nimeamini pasipo shaka yoyote.
 
Dr Slaa kwa nini usishangae mpaka leo bado ujafunga ndoa unazeeka. Unamshangaa Kinana.
 
Katibu Mkuu wa CHADEMA Dr. Wilbrod Slaa amemshangaa Katibu Mkuu wa CCM Abdurahman Kinana kwa kuanza kulalamika kuhusu bei za Korosho, Ufisadi wakati Chama chake ndicho chenye serikali. Dr Slaa anasema ni bora CCM ikawa upinzani na yenyewe badala ya kuwahadaa wananchi.

Aidha amewashangaa watu wanaodai majina ya mafisadi wakati yeye alishawasilisha kwa DPP majina na akaunti za Mafisadi na watia sahihi wa akaunti hizo lakini serikali imekaa kimya hadi leo.

Slaa pia amewashangaa watu wanaodai CHADEMA ina makundi kwani huo ni uzushi usio na maana na CHADEMA haina muda huo wa kupoteza. Kazi ni moja tu ya kujenga Chama na wakati uchaguzi wa ndani ya Chama ukiwa unaendelea rushwa haitavumilika ndani ya CHADEMA hata kidogo.

Slaa ameyasema hayo katika Baraza la Mashauriano la Mkoa wa Kagera ambalo pia lilihudhuriwa na Wenyeviti na Makatibu wote wa Mikoa wa CHADEMA.

Dr Slaa kwa nini usishangae mpaka leo bado ujafunga ndoa unazeeka. Unamshangaa Kinana.




Huyu mzee Slaa is like a startled rabbit caught in headlights,he has no idea and Majority of Tanzanians don't Know what he wants... i think its about time to hang those gloves ... siasa zimeshinda huyu babu

 
yani huyo ndio Dr. wa Ukweli na hii kauli ni fimbo kwa CCM. kauli ya kinana ni sawa na baba kuwaeleza watoto wake kuwa mke wake anatoka nje ya ndoa wakati analala naye kila siku bila ya kumuwajibisha.
Hapa saa ndo umeeleza kwa lugha inayoeleweka.
Exactly.
 
Back
Top Bottom