Skudu Makudubela. Amefia wapi huyu Mwamba?

Skudu Makudubela. Amefia wapi huyu Mwamba?

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
11,164
Reaction score
22,746
Bonge la mchezaji. Ni kitambo sasa hasikikiki. Mpaka naanza kujiuliza amefia wapi kimpira? Au tayar tushamuuza kimya kimya?

Tunahitaji kumwona akisakata gozi huyu bwana mdogo mwenye kipaji chake
 
Bonge la mchezaji. Ni kitambo sasa hasikikiki. Mpaka naanza kujiuliza amefia wapi kimpira? Au tayar tushamuuza kimya kimya?

Tunahitaji kumwona akisakata gozi huyu bwana mdogo mwenye kipaji chake
Mkuu! We ni mtu wa ball?
Au umekurupuka tu.
Skudu anakipiga vibaya mno hapo kwa Wakongomani...
Timu yake ya AS Vita inamkubali sana.
Fuatilia ball, usizukie tu
 
Mkuu! We ni mtu wa ball?
Au umekurupuka tu.
Skudu anakipiga vibaya mno hapo kwa Wakongomani...
Timu yake ya AS Vita inamkubali sana.
Fuatilia ball, usizukie tu
Ni mtu wa vipochi manyoya
Au na wewe umekurupuka tu
 
Back
Top Bottom