Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 61,367
- 100,408
1. Fumba macho
2. Yazoee tu mapaja kitu gani hata kuku anayo
Kimini tu? Aaghhh aiseee mimi hapana ila ningekuwa nawachungulia kwa makusudi na ninawaambia kabisaaaa. Ukishamwambia mara mbili Tatu Harudii na akirudia endelea kuwachungulia na kuwaambia pichu aliyovaa. Imenisaidia sana hii. Usiulize wapi
Wewe punguza nyg....hizo sehemu mbili nilizokoleza ndo ulipoharibu uzi yaani unawaomba hao wawashauri wengine!!!! kwanini wasishauriwe wao!!
tunabishana nao kila siku wajirekebishe wabishi halafu wewe unataka hao wawafundishe wenzao mkuu umedata nini...
hapo umemsahau tu lara 1 ni wajeuri vibaya cha maana edit hapo juu na uweke kuwa nyinyi dada zangu jirekebisheni
eboooooo!!!!!
wakivaa jinsi au sketi ndefu itamchelewesha bosi maana bosi ana dk 15 tu za lunch sasa maswala la kuvua tena ni kuchelewesha inatakiwa akiinama tu tayari mzigo uko juu.
haya basi yaishe!!!!Wewe punguza nyg....
naona unanifata na speed ya 3G!!!!
haya yana chembe za ukweli,it seems kuna wanaovaa hivi kwa ajili ya kutegatega watu,haya
Habari zaa jumapili wana jamii forum
Moja kwa moja nianze kuwaomba dada zangu ambao wanatuvalia vimini ofisini punguzeni au acheni jamani wengine tuna mioyo ya udongo coz mnapofanya kazi na sisi halafu karibia mapaja yote yapo nje jamani mnatufanya tufanye kaziambazo hazina ufanisi maana mnatunyima concentration jamani vaeni basi sketi ndefu au kusema sketi fupi inaendana na mambo ya ofisini????jamani naombeni wakina miss chagga,evelyn salt, masai dada na wadada wengine mje na mpango wa kuvaa sketi ndefu kwa kushauriana na wengine muwape somo na kaka nyinyi mnavaa jamani acheni wengine jamani tuna mioyo ya petroli
NB-niliowataja sio kwamba ndio wanavaa sketi fupi,nimewaomba wawashauri wasichana wengine japo mavazi ni uamuzi wa mtu lakini hapana jamani mtuuonee huruma jamani ili tuweze kufanya kazi kwa ufanisi,NI OMBI TU HILO JAMANI
Hahaaa ulivyoongea kwa huruma... ngoja nianze kesho kuvaa ndefu
Sasa vimini viwe vinavaliwa wapi.........?.......kwa mfano........
Habari zaa jumapili wana
jamii forum
Moja kwa moja nianze kuwaomba dada zangu ambao wanatuvalia vimini
ofisini punguzeni au acheni jamani wengine tuna mioyo ya udongo coz
mnapofanya kazi na sisi halafu karibia mapaja yote yapo nje jamani
mnatufanya tufanye kaziambazo hazina ufanisi maana mnatunyima
concentration jamani vaeni basi sketi ndefu au kusema sketi fupi
inaendana na mambo ya ofisini????jamani naombeni wakina miss
chagga,evelyn salt, masai dada na wadada wengine mje na mpango wa kuvaa
sketi ndefu kwa kushauriana na wengine muwape somo na kaka nyinyi mnavaa
jamani acheni wengine jamani tuna mioyo ya petroli
NB-niliowataja sio kwamba ndio wanavaa sketi fupi,nimewaomba wawashauri
wasichana wengine japo mavazi ni uamuzi wa mtu lakini hapana jamani
mtuuonee huruma jamani ili tuweze kufanya kazi kwa ufanisi,NI OMBI TU
HILO JAMANI
Picha tafadhali
Habari zaa jumapili wana
jamii forum
Moja kwa moja nianze kuwaomba dada zangu ambao wanatuvalia vimini
ofisini punguzeni au acheni jamani wengine tuna mioyo ya udongo coz
mnapofanya kazi na sisi halafu karibia mapaja yote yapo nje jamani
mnatufanya tufanye kaziambazo hazina ufanisi maana mnatunyima
concentration jamani vaeni basi sketi ndefu au kusema sketi fupi
inaendana na mambo ya ofisini????jamani naombeni wakina miss
chagga,evelyn salt, masai dada na wadada wengine mje na mpango wa kuvaa
sketi ndefu kwa kushauriana na wengine muwape somo na kaka nyinyi mnavaa
jamani acheni wengine jamani tuna mioyo ya petroli
NB-niliowataja sio kwamba ndio wanavaa sketi fupi,nimewaomba wawashauri
wasichana wengine japo mavazi ni uamuzi wa mtu lakini hapana jamani
mtuuonee huruma jamani ili tuweze kufanya kazi kwa ufanisi,NI OMBI TU
HILO JAMANI
una ushauri gani kwa sisi walimu.....?
una ushauri gani kwa sisi walimu.....?