Akilinjema
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 11,428
- 11,837
Sizonje kashakata moto. Hana tofauti na Gari la mkaaa, tripu shamba, tripu gereji .


Nimecheka kwa sauti kubwa!
Hakika JF ni Burudani tosha!



Kumbe magari ya mkaa ndivyo yalivyo?!
Sikujuaga!
Niliwahi kusikia magari ya takakata ya Manispaa mengine yakifika Mlimani hayaingizi gia hivyo inabidi dereva awe na watu 2-3 pale mbele wasaidiane kuishikilia gia ili ikubali isihame hadi wamalize kupanda mlima


Hii ya habari ya gari ya taka nimeisikia leo kwako

