mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,793
- 7,165
Sizonje ni kama Arsene Wenga hatiii leo alifanya viziri tunasema aendelee akifungwa tunasema imetosha asepe tu.
Wewe jamaa noma sanaSizonje pengine angepewa kazi ya kufua jezi kila baada ya mechi lakini si ukocha, ona sasa timu inashuka daraja.
Anapigiwa za mbali kama Aishi Manula?Sizonje kawa Kocha/Mchezaji. Siku hizi anaingia uwanjani mwenyewe. Kuanzia kipa, mabeki, viungo na washambuliaji hawajui wafanye nini maana yupo kila sehenu. Kidogo amuondoe nahodha kama si mmoja wa makocha wa zamani kuingilia kati.
Makocha wa kigeni hasa wa Ulaya anawaona wabaya. Anapenda sana kupata ushauri wa kocha mmoja mrefu mwembamba wa timu moja jirani.
Wachezaji wanaishi kwa wasiwasi muda wote maana waweza kukosa namba kama Kakolanya muda wowote. Mpaka sasa kagoma kucheza za mbali.
Sizonje kawa Kocha/Mchezaji. Siku hizi anaingia uwanjani mwenyewe. Kuanzia kipa, mabeki, viungo na washambuliaji hawajui wafanye nini maana yupo kila sehenu. Kidogo amuondoe nahodha kama si mmoja wa makocha wa zamani kuingilia kati.
Makocha wa kigeni hasa wa Ulaya anawaona wabaya. Anapenda sana kupata ushauri wa kocha mmoja mrefu mwembamba wa timu moja jirani.
Wachezaji wanaishi kwa wasiwasi muda wote maana waweza kukosa namba kama Kakolanya muda wowote. Mpaka sasa kagoma kucheza za mbali.
Tena kwa kasi ya ajabuTimu inaendeleza ule msemo maarfu wa Ustadhi Mwinyi:"KICHWA CHA MWENDAWAZIMU"
Humo humo KiongoziAnapigiwa za mbali kama Aishi Manula?
One of the best threads in JF ever
Hivi mashabiki wa hiyo timu hawawezi kushinikiza kocha akaachia ngazi? Mbona twaona timu zingine mashabiki wakiandamana mpaka makocha wao wanaachia ngazi?
Umeonaa eeeMchezaji wa team pinzani aliyepata majeruwi atimaye karudi sizonje team yao inapata tabu sana
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Kweli humu JF watu wanaona mbali. Sina la kuongeza. Shukurani sana wote Wapenda Mageuzi na Wazalendo wa Kweli.Sizonje pengine angepewa kazi ya kufua jezi kila baada ya mechi lakini si ukocha, ona sasa timu inashuka daraja.
DuuhWakati wa uzi huu umefika rasmi .