Sizonje usichanganyikiwe, Mambo bado!!

Unajua mwanzo nilipousoma uzi huu sikuuelewa vizuri , ila sasa nimetambua .

Mungu ibariki JF .
 
Sizonje amefanya makubwa ambayo ni mazuri kama mwanadamu hakosi kasoro. Inshaalah Mwenyezi Mungu amjalie afanikiwe katika utendaji wake wa kazi
 
Dhalimu aliyejaa dhuluma za kutisha itapendeza na mengineyo pia.

SIZONJE sijui anapeleka wapi timu.....

Alafu mbona Sizonje amepewa majina mengi this time?.......

Mala Juma Ponda Mali ,Mala Nyampala,Tembo, Sasa nasikia anaitwa Trump ......

Kuna ukweli juu ya majina ya Shizonje?.......
 
Kamati ya usajili yeye, kamati ya mipango na fedha yeys, Benchi la ufundi yeye, Kocha mkuu na. Msaidizi yeye,kamati ya maadili yeye, dah kwa mgawanyo huu wa vyeo nadhani timu itashika nafasi ya kwanza kutoka chini muda si mrefu.
 
Hilo la trump duuu
Juzi sema kukabiliana n.a. matatizo ya watoto kupiga wenzao bunduki ni walimu wapewe silaha
Yako nafikiri kafika mwisho you ni copy na huyu?
 
Kwa nini Rais wetu anatabirika kirahisi hivi.
Yani Uzi huu wa tangu Novemba 2016, hadi leo unaleta maana sana.

Yani ni mtu ambae in and out, watu wanajua hatafanikiwa ...!!

Mpaka siku Airtel yetu ikirudishwa TTCL ndo ntamwamini Sizonje..

Nje ya hapo, Sizonje anatakiwa akaigize huko Hollywood.. Viwango vyake ni zaidi ya Nollywood na Bollywood..
 
Sizonje kama sio yy hajali wala kutafakari likitokea yy kama hayupo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…