Mjukuu wa kigogo
JF-Expert Member
- Sep 19, 2023
- 201
- 439
Unalalamika na kujifariji hapo hapo wenzio wanaagiza tu.
Mbn kama tren😂Unalalamika na kujifariji hapo hapo wenzio wanaagiza tu
Sasa nawe umengoja nn ungana nao😂Kweli mkuu, nipo Bara Beach watu wanakula bata hapa...
Nishakura bata nasepa saivi...Sasa nawe umengoja nn ungana nao
Aloo hapo bara Beach sio mchezo ukienda na Familia zitakutoka hela labda muishie kunywa soda na kupunga upepo.Kweli mkuu, nipo Bara Beach watu wanakula bata hapa...
maokoto ya shemeji yako...Aloo hapo bara Beach sio mchezo ukienda na Familia zitakutoka hela labda muishie kunywa soda na kupunga upepo.
Hiyo SGR vepeeeUnalalamika na kujifariji hapo hapo wenzio wanaagiza tu
View attachment 2784870
Unge uliza je mradi wa treni wa mwendo kazi utakamilika kama Hali ndio hiiUnalalamika na kujifariji hapo hapo wenzio wanaagiza tu
View attachment 2784870
Siyo hoja Sana ila Kama utafikiri kwa namna hyo Basi Kuna tatizo la kimapato kwakoHayo yote atayaacha Duniani na kuzikwa pekee yake ,...
Hizo pesa Bora angegawia masikini tu ..
Uko na picha tuone?maokoto ya shemeji yako...
Acha Nile Mimi mtoto mzuri...
Afu maskini watamsaidia nn.na hao maskini ndo wataishi milele?? Kaka tafuta hela utafirwc bila helaHayo yote atayaacha Duniani na kuzikwa pekee yake ,...
Hizo pesa Bora angegawia masikini tu ..