Betterhalf
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 2,879
- 2,553
Watoa hoja hawajamaanisha hivyo.Bali, kupuuza tahadhari ambayo watangulizi wa Mkulu walikuwa nayo dhidi ya Mr Slim&Co kunakofanywa sasa hivi,kunaashiria kwamba kuna hatari mbele yetu.Kwahiyo mnataka kutuaminisha kwamba kila mnyarwanda aliyeko tz ni spy?
Hii ina maana, kwa kadri ilivyo hakuna linalotokea kwa bahati mbaya bali it's a calculated plan.Sasa je, na kwetu pia au wenzetu ndo wamefanya calculations hizo?
Binafsi nakubaliana na wale wanaomuangalia Mr Slim&Co kwa jicho la tahadhari, the man has a mission towards us.