Siyo Utoto mitandaoni, Mr Slim is pretty dangerous!

Rafiki yako hakua Rwanda huyo anakudanganya either unamdai au mna biashara fulana mnafanya anataka kukutapeli,Rwanda kuanzia umeme maji network za barabara simu zipo kila mahali,Hyo Tanzania yenu mmeshindwa kujenga Flyover mji mkubwa kama Dar es salaam halaf kale kanajengwa Tazara et flyovver ccm imewafanya mazezeta sana nchi kama Tz yenye rasilimali tele et umeme ni tatizo mwaka 2018 shule hazina vyoo Maji ni tatizo pale Kahama na ipo karibu na Lake victoria nchi ina gesi lakin mtung wa gesi ghali kuliko mkaa.

Bora uwaambie ukweli tu,
 
Mungu akijalia uzima mwezi wa 5 nitaenda Rwanda, nitatembea sana nijionee utofauti wa hapa na kwao, ila naamino Rwanda ni nzuri zaidi kuliko hili shamba la bibi LINALOFANYWA NA maCCM.
 
unaijua First&Second Congo War?

Wababe wa Africa kivita Angola&Zimbabwe kwenye hio 2nd congo war walipewa shughuli na huyo jamaa mpk ikataka kuleta proxy war,hapo alikua nani amemvizia nani?

Unaijua OPERATION TURQUOISE mwaka 1994 huko Rwanda na kilichowakuta Wafaransa,je alimvizia nani?

Hahah afu Mkuu bana unaamini kabisaa Burundi anaweza akapigana wkt salama yake ni Kubebwa na Tz,hivi wkt Nkurunzinza wanataka kumpindua ni nani alienda kuhakikisha anabaki Madarakani?Si ni Tz au nani?Burundi size yake ni vile visiwa vya Comorro labda.

Kwa M7 sina hata cha kusema yaani unaamini kabisa M7 anaweza akazingua kwa FORMER CMI wake anayemjua yeye na nchi yake nje ndani.Hao ma spy wananyongwa hapo Uganda kupitia story kijarida cha Red Pepper tu,hahah

Hao wanyalu wanaokamatwa Uganda unajua sababu ni nini?Na unajua kuna bus jingine lilikamatwa hapa bongo lina wanyalu full wanapelekwa Kongo?

Afu khs kuvizia kwenye vita mi mtizamo wangu najua ndio maana ya hizo MILITARY INTELLIGENCE kufanyika. Kama mnaweza kuspot weak Point na kutoa kichapo ni nini Mbaya?

Mbabe wa PK ni Tz only,hao wengine ni midebwedo tu kwa sasa.
Nakubaliana, kutokukubaliana. PK hana ubavu wa kumtoa Angola.
 
Mungu akijalia uzima mwezi wa 5 nitaenda Rwanda, nitatembea sana nijionee utofauti wa hapa na kwao, ila naamino Rwanda ni nzuri zaidi kuliko hili shamba la bibi LINALOFANYWA NA maCCM.
sasa unaenda na theory zako tena? utakuwa so bias..
 
Rafiki yako hakua Rwanda huyo anakudanganya either unamdai au mna biashara fulana mnafanya anataka kukutapeli,Rwanda kuanzia umeme maji network za barabara simu zipo kila mahali,Hyo Tanzania yenu mmeshindwa kujenga Flyover mji mkubwa kama Dar es salaam halaf kale kanajengwa Tazara et flyovver ccm imewafanya mazezeta sana nchi kama Tz yenye rasilimali tele et umeme ni tatizo mwaka 2018 shule hazina vyoo Maji ni tatizo pale Kahama na ipo karibu na Lake victoria nchi ina gesi lakin mtung wa gesi ghali kuliko mkaa.
Msilinganishe nchi ya wanaume na nchi ya wavulana, Tz ni nchi ya wanaume , Rwanda ni wadogo zetu hata wakikimbilia huku tunawosomesha na kodi zetu, then tunawaruhusu waende.
 
Msilinganishe nchi ya wanaume na nchi ya wavulana, Tz ni nchi ya wanaume , Rwanda ni wadogo zetu hata wakikimbilia huku tunawosomesha na kodi zetu, then tunawaruhusu waende.

Sawa wanaume wa Dar,mmetusomesha tukawazidi ujanja hii leo Rwanda iko mbali nyie bombadia mshazichukua mkaiga Rwandair mmeangukia pua nchi ya wanaume mwaka wa 60 umeme ni tatizo tena mijini kabisaaaaa halafu Mwanaume wa Kweli hua hajitaji yeye kama mwanaume utaona matendo yake nyie wanaume wa Dar ila Paul Kagame katulia pale anapiga kazi.
 
Mauaji laba kuua nzi tumepita shida za hapa na pale il nyie wenye miaka 50 nchi haina hata shirika la ndege hata kuwapeleka hapo Uganda Nchi haina madawa nchi ina kila kitu ila raia wake n maskini rais anasema atakawa mil 50 kila kijiji halafu hakuna kitu

Huu ni ukweli. Truth hurts. Tukubali tu. As mtanzania this is a shame to my country. Hawa rwanda they have been through hell while sisi tupo vizuri na kuendelea na ufujaji wetu kwa viongozi bogus, and then wakayavuka magumu na kutupiku vitu kibao. Kwanini tusikubali ukweli ituume ili tubadili rather than faking perfection.
 
Mkuu ww ni mtz mwenzangu unanizingua tu, mnyarwanda hapa angesema nyie watzd ni wanaume wa kweli na ni baba zetu walezi, kuanzia primary school, secondary, vyuo ,mafunzo ya jkt bure hadi kazi yaani kuwa kwao tz ni bonge ya fursa, kama vile cc wa tz kwenda USA. Alfa wanapenda kutaja uzalendo ila uzalendo siyo kushibia kwa jirani, pull up your sox.
 
Huu ni ukweli. Truth hurts. Tukubali tu. As mtanzania this is a shame to my country. Hawa rwanda they have been through hell while sisi tupo vizuri na kuendelea na ufujaji wetu kwa viongozi bogus, and then wakayavuka magumu na kutupiku vitu kibao. Kwanini tusikubali ukweli ituume ili tubadili rather than faking perfection.

Ukweli wanaujua wanavunga tu hua nawapa kavu hlafu nchi Zote walizozisaidia zimewazidi kiuchumi na kila kitu kuanzia South africa Angola namibia Etc
 
Kimsingi Rwanda hapa Tz kwetu tweweza ifananisha na wilaya ya Handeni in every aspect, juzi kati jamaa yangu alienda Rwanda alikaa zaidi ya miezi sita, mawasiliano nope, hamna kabisa, one day alipopatikana kwa cm akaniambia kuna shida ya network maeneo ya vijijini alipokua, cha ajabu ka nchi kadogo kama Handeni still hakajawa covered na mtandao mzuri wa cm, hii habari ya kujikita kigali na kuacha maeneo mengine ovyo ni sawa na mwanamke kupaka mgorogo usoni tu ili hali haogi, bado saana.

af003d040179416d812f7e6fc079e6ec.jpg
haya chukua na hii hapo Tz haipo na. Mmekaa baharin fiber ilikotokea ila sisi tumevuta fiber toka kweny network ya kumwaga kwi kwi kwi poleni sana Tz
 
af003d040179416d812f7e6fc079e6ec.jpg
haya chukua na hii hapo Tz haipo na. Mmekaa baharin fiber ilikotokea ila sisi tumevuta fiber toka kweny network ya kumwaga kwi kwi kwi poleni sana Tz
Fastest and coverage are two different things, wanaweza kuwa ns speed ila wako chigali na vimji vingine, vijijini nope, kaputi.
 
Fastest and coverage are two different things, wanaweza kuwa ns speed ila wako chigali na vimji vingine, vijijini nope, kaputi.

Rwanda internet kila mahala ndio maana wanafunzi wana iPad na Laptop kila mtu endelea kufanya analysis ya makinikia
 
af003d040179416d812f7e6fc079e6ec.jpg
haya chukua na hii hapo Tz haipo na. Mmekaa baharin fiber ilikotokea ila sisi tumevuta fiber toka kweny network ya kumwaga kwi kwi kwi poleni sana Tz
Unajua tofauti zilizopo kati ya Rwanda na Tz, kijiigrafia, kisiasa na kiuchumi na hata kijamii? Unajua nchi ipi ni kubwa kieneo na ipi ina population kubwa zaidi ya nyingine ki density population? Ukiyajua hayo Utajua, Tz inatakiwa ijenge zahanati ngapi kukidhi watu wake na Rwanda ngapi? Mtandao wa lami ukidhi how many kms, reli na simu pia. Mtandao na huduma za mikoa mitano nitakayokutajia tu Rwanda itapitwa vibaya, Dar kwakuwa Kigali ipo, Klm, Mby, Mwanza na Arusha, ktk hapo tu kila kitu kuaanzia GDP nk Rwanda chali.

Hiyo mikoa minne yenye watu idadi inayokaribiana na Rwanda, au let's say, kila kitu kilichopo Tz kiwepo ktk mkoa mikoa ya Morogoro na Iringa Hadi idadi ya watu hiyo nchi ingekuwaje?

Kila kitu kina faida na hasara zake pia, inawezekana urefu wa barabara moja tu ya Tz ndo mtandao wote wa barabara Rwanda.
 
Unajua tofauti zilizopo kati ya Rwanda na Tz, kijiigrafia, kisiasa na kiuchumi na hata kijamii? Unajua nchi ipi ni kubwa kieneo na ipi ina population kubwa zaidi ya nyingine ki density population? Ukiyajua hayo Utajua, Tz inatakiwa ijenge zahanati ngapi kukidhi watu wake na Rwanda ngapi? Mtandao wa lami ukidhi how many kms, reli na simu pia. Mtandao na huduma za mikoa mitano nitakayokutajia tu Rwanda itapitwa vibaya, Dar kwakuwa Kigali ipo, Klm, Mby, Mwanza na Arusha, ktk hapo tu kila kitu kuaanzia GDP nk Rwanda chali.

Hiyo mikoa minne yenye watu idadi inayokaribiana na Rwanda, au let's say, kila kitu kilichopo Tz kiwepo ktk mkoa mikoa ya Morogoro na Iringa Hadi idadi ya watu hiyo nchi ingekuwaje?

Kila kitu kina faida na hasara zake pia, inawezekana urefu wa barabara moja tu ya Tz ndo mtandao wote wa barabara Rwanda.

Kongo ina kila kitu ila maskini wa Kutupa na ukubwa ule kwi kwi kwi nyie nchi yenu pa1 na population kila mkoa una rasilimali za kutosha ila maji ya kunywa pale Mkoa wa shinyanga tabu na Kigoma pia tabu tupu huko songea watu wanalkunnywa maji na ngombe iringa kuna mbao ila madawati hakuna Tz kweli mazezeta mko wengi sana shame on you
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom