Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 57,671
- 96,942
Kama alivyo Tundu Lisu yeye ni bahari hakai na uchafu lazima autapike.
Sasa na mimi namuenzi Lissu kwa kusimama katika ukweli na nina swali naomba majibu, je gari ya Lisu haitengenezeki? Maana ninachojuwa engine haikupata madhara yoyote, je Lissu kama mwanamsheria msomi gari yake haina bima kubwa?
Hivi ni busara kweli kukamua watu maskini wakuchangie gari wakati wao hata baiskeli hawana? Je inawezekana vipi chama kikubwa kama CHADEMA kishindwe kumpatia gari Lissu? Maswali ni mengi hebu naomba wa ufafanuzi kwa haya kwanza.
Sasa na mimi namuenzi Lissu kwa kusimama katika ukweli na nina swali naomba majibu, je gari ya Lisu haitengenezeki? Maana ninachojuwa engine haikupata madhara yoyote, je Lissu kama mwanamsheria msomi gari yake haina bima kubwa?
Hivi ni busara kweli kukamua watu maskini wakuchangie gari wakati wao hata baiskeli hawana? Je inawezekana vipi chama kikubwa kama CHADEMA kishindwe kumpatia gari Lissu? Maswali ni mengi hebu naomba wa ufafanuzi kwa haya kwanza.