Six pack ya Shilole

Six pack ya Shilole

naskia kichefuchefu ..... am sorry i will be back
 
sasa huyo ukimpiga ulimi wa kitovu si unatoka na uchafu wa kutosha.
 
Wakuu, habari ya majukumu.

Kufuatia hii post, naombeni mnitumie contacts za Shilole niweze kuongea nae kuhusu tumbo. Kuna kirutubisho (Food Supplement) kinajulikana kama SHAKE OFF PHYTO FIBER, kinaondoa tatizo la tumbo/ kitambi bila madhara yoyote. Hebu nitumieni contacts zake tumsaidie huyu dada.

SHAKE OFF Phyto Fiber

Ni kinywaji kinachotokana na virutubisho asilia (roselle, oats, inulin n.k) kilicho na nguvu ya kusafisha kabisa na kuondoa mgandamano wote wa taka ktk utumbo mpana ikiuacha ukiwa msafi na wenye afya zaidi.

Faida za Shake Off


  • Imetengenezwa kwa virutubisho asilia, haina madhara kwa mtumiaji.
  • Ni njia ya haraka, salama, uhakika na nafuu ya kuondoa mgandamano wa taka tumboni hivyo kukupa kinga ya saratani ya utumbo mpana(colon cancer) na madhala mengine kiafya.(coprostasis)
  • Inakupa matokeo chanya masaa 8 - 12 tu baada ya kutumia.
  • Inapunguza uzito uliozidi, kitambi (tumbo) na mgandamano wa mafuta kwenye mishipa ya damu (cholesterol)
  • Inaondoa tatizo la kukosa choo (Constipation) na kusaidia ukuaji wa baktelia wazuri tumboni.


Ni hayo tu wakuu.

Mawasiliano. 0767 277 223 au 0713 366 473
 
Inapatikana wap?na kiasi gan?

Mkuu aminer

ni vema tukatafutana kwenye simu ili kutowakwaza wanabodi kwa kutoka nje ya uzi. mimi sitojua kwamba ndo wewe kwani yatosha kujitambulisha kama "guset" uliyekuwa ukipita tu kama mpita njia.

Kumbuka: AFYA NJEMA HUJENGA MUSTAKARI MZURI WA MAISHA.
 
Duuuh hili si tumbo la kunadi lishachuma kunde

Mkuu Segitho.

Hebu angalia hapa sumu zinavyojaza matumbo/ vitambi kutokana na tatizo la kukosa choo mara kwa mara (Constipation) bila kusahau madhara yake. Halafu uchukue hatua kusafisha utumbo wako kwa kutumia SHAKE OFF PHYTO FIBER uondokane na madhara.

Maswali mawiwili ya MSINGI tupasayo kujiuliza:

1. Kama tuna kula milo mitatu au zaidi kwa siku na mara nyingi tunapata choo mara moja kila baada ya siku moja. Je?, sehemu kubwa ya chakula tunachokula kinaenda wapi? kinasagwa na kumeng'enywa chote na mwili au ndo matokeo ya matumbo / vitambi tunavyoviona kila kukicha ikiwa ni ushahidi kwamba tunatembea na kilo kadhaa za vyakula visivyosagwa na kumeng'enywa na mwili kwenye matumbo yetu?!!

2. Kama tunaoga mara mbili au zaidi kwa siku ili kuweka sehemu ya nje ya mwili (outside) safi, tuna fanya nini kusafisha sehemu ya ndani ya mwili? Kuna maana gani kusafisha sehemu ya nje ya mwili na kuacha sehemu ya ndani ya mwili chafu?! Hivi, AFYA na MUONEKANO MZURI huanzia NJE kwenda NDANI (out - inside) au huanzia NDANI kwenda NJE (inside - Out)?!!

TAFAKARI. CHUKUA HATUA.

 
Last edited by a moderator:
Madada wa humu mna hila ya kwapa kunuka bila kidonda!
Wekeni yenu tuyaone sio mnang'ang'ana tumbo tumbo kama nyie hamuna
 
Dawa pekee inayoaminika ni mazoezi na kula chakula kiasi...

Juzi nimesoma huko Nigeria superstar mmoja kafa kwa kuparamia chai za wachina zinazopunguza weight;

yani nilianza na mimi kuwa mtumia green tea; nimeamua kutupa kule...ni hatari sana kutumia vyakula vya kukata weight...hata vyakula vingine ni toxic.

Mfano hata hii green tea ya kawaida inashauriwa mtu unywe vikombe 3 mwisho. Na kama una BP don't...sasa kwa nini tusirudi kwenye natural life.



Inapatikana wap?na kiasi gan?
 
Kwani ukiimba bila kuacha tumbo nje sauti haitatoka? Umaarafu mzigo wkt mwingine.
 
wakiambiwa wafanye mazoezi hawataki thats y always na prefer viportable.
 
Hahahaaaaa kumbe ukarabati uko usoni tuu...ndani majangaaa sipati picha hapo kwenye makutano pakoje! Unaweza kuta kidau
 
.....Hayo ndio matokeo ya kula vyakula vyenu vya kimjini mjini....machipsi yanayokaangwa kwa mafuta ya transforma....makuku ya kishoga (kuku tangu amezaliwa hajawahi kumuona jogoo..ukiligusa tu linainama lenyewe likidhani limetembelewa na jogoo).....

.....Huku Tabora kuku anakimbizwa siku nzima....ukitembelewa na wageni inabidi wote washiriki kukimbiza kuku...la sivyo aliwi kuku siku hiyo....chezea kuku wa kienyeji...

.....NA MBADO... hapo ni tumbo tu..bado magonjwa yanayoambatana na huo ulaji wenu wa kimjini mjini...Suluhisho ni kurudi kwenye misosi ya asili.....

.....Dokta Ndodi anaongea kila siku lakini mmeweka pamba masikioni.
 
Back
Top Bottom