wacheni jazzband hapa....hela zipo muda wote wapi. nyiewanawake all want the security that money provides
once that disappears na nyie mnapotelea kwa majamaa wenye mihela.
FactTatizo lako hujui mapenzi (love) unachojua ni ngono tu(sex) trust me when u really love someone money is nothing
Umejuaje kama mada ni tamu ikiwa haujui lugha?Mbona mada tamu..mnaandika kwa English lengo...kufumba sisi tusijua lungha hiyo?

Nimeona kometi za kiswahiliUmejuaje kama mada ni tamu ikiwa haujui lugha?
Mnajiridhisha tuu, kuna mambo matatu tuuMhm mbona somjo nyingi marriage killer namba moja ni lack of money. Kosa helaa ndani ya nyumba uone ndoa itakavyolega lega
Hahahahaaa hiyo huwa haipo, Money is everything and everything is money, we hujala hata msosi mzuri, hujabadilisha nguo mpya, hujaenda saluni miezi inakata tu eti i love my husband weee hata mi mwenyewe nakataa najua unachepuka kimyakimyaTatizo lako hujui mapenzi (love) unachojua ni ngono tu(sex) trust me when u really love someone money is nothing
Tatizo lako hujui mapenzi (love) unachojua ni ngono tu(sex) trust me when u really love someone money is nothing
Mnajiridhisha tuu, kuna mambo matatu tuu
1: Pesa
2: Gemu
3: Heshima
Baaaasi
Wanazunguka tu wakati wanajua kikikosekana hata kimoja hapo nyumbani mbona panakuwa kaunta ya polisiumenena bro. hawa wacha waendeleaa najazzband zao hapa. ilahivyo vitatu mwanawane ndio kilakitu. wee una miakili balaaa
hahahahahha panakuwa nini mkuuuuu..... hahahaha umenifurahisha sana. pata mbili baridi lakini kwa bill yako hahahahWanazunguka tu wakati wanajua kikikosekana hata kimoja hapo nyumbani mbona panakuwa kaunta ya polisi
hahahahahha panakuwa nini mkuuuuu..... hahahaha umenifurahisha sana. pata mbili baridi lakini kwa bill yako hahahah





hili na COMPARISON naamini ndio adui mkubwa kabisa.....7.Selfishness
Gemu + HeshimaMi ndoa yangu ilikufa kutokana na kuwa na ambitions kubwa kwenye career yangu, sababu hii inaingia kipengele kipi hapo?
