Siwezi kuangalia watu usoni...

Siwezi kuangalia watu usoni...

Unaweza tongoza mwanamke kwa sign tuu za macho, jiamini ndugu yangu.
 
Ukiachana na ufukara utawaangalia watu usoni mpaka utachoka!
 
Akati watu tukisha muona mwanamke kwa upande wa nyuma ...tunawahi na kwa mbele ili tumalizie kuthaminsha .....
 
Nyie ndo mnaangalia wake zetu matakoni nyie...shenzi kbs
 
We jamaa acha ujinga..Jiamini mtoto wa kiume..sasa ukishindwa kumuangalia mtu usoni si ndio dalili za kutojiamini..

#Na Puli,Punyeto,Puchu UACHE HARAKA SANA
 
Back
Top Bottom