Arsenal Gunner
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 10,891
- 17,696
Yaani Mimi niandamane, nipigwe risasi, nife, nizikwe, nioze eti kisa Kuna mizee ambayo yenyewe enzi zao yalikuwa yamezubaa nchi ikatafunwa sasa hivi yanasema vijana wa Gen Z andamaneni kwajili ya Tanzania?
Mnaumwa nyie wazee, pambaneni na hali zenu. Kama maisha yamekuwa magumu kwenu, hamna kijana ataemwaga damu yake Kwa ajili yenu.
lnatakiwa nyie ndio mfe mapema Ili vijana tuishi. Sasa nashangaa mpaka Leo mpo hai, wajinga nyie.
Nione tena mnaweka vi nyuzi vyenu uchwara humu. Kila mtu afe kivyake maana hata huyo Mbowe na chama chake anayejifanya mpinzani ndio walewale
Mnaumwa nyie wazee, pambaneni na hali zenu. Kama maisha yamekuwa magumu kwenu, hamna kijana ataemwaga damu yake Kwa ajili yenu.
lnatakiwa nyie ndio mfe mapema Ili vijana tuishi. Sasa nashangaa mpaka Leo mpo hai, wajinga nyie.
Nione tena mnaweka vi nyuzi vyenu uchwara humu. Kila mtu afe kivyake maana hata huyo Mbowe na chama chake anayejifanya mpinzani ndio walewale