Eliza wa Tegeta
JF-Expert Member
- Dec 4, 2011
- 251
- 108
Abeeeeee!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!Hii sinema ni sawa na eliza wa tegeta na Bishanga
wasemaaaa......
Abeeeeee!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!Hii sinema ni sawa na eliza wa tegeta na Bishanga
Hahahah..jamaa pale kachemsha. Keshaelezwa lakini, soon atarekebisha kauli yake.mbona maswali likuki soon after salamu?
Mie siulizi cha husny wala smile
nakukula kwa muda wangu, we hao unaowauliza wa nini?
Tuendelee tu from here, start point your eyez
nipeleke kigamboni basi nikapige mbizi
Abeeeeee!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
wasemaaaa......
Umeona huyu kijana laivo niita???Mwali vp? Mbona waenda mbali tena?
Abeeeeee!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
wasemaaaa......
Hahahah..jamaa pale kachemsha. Keshaelezwa lakini, soon atarekebisha kauli yake.
Haya macho ni kwaajili yako, yanakuchungulia mpaka kunako!
Nafuatilia movie tu taratibu hapa..nimevaa miwani ya 3D! Achana naye huyo, usiumize kichwa kabisaUmeona huyu kijana laivo niita???
Hilo pua kazi yake ni nzito sana..nikielezea hapa JF server zote zinaweza kuzima.ha ha ha
na pua tayari kwa kudonoa ulezi
unanikumbushaga sana mambo ya St. Nowhere University
kachemsha kumbe
mie siasa 0%, ndo mana ikiletwa chit chat huwa napagawa.
So nauli haipandi tena?
Au anabadili kauli tu?
Maongezi haya ni kwa rejao na kongosho tu
wengine msiyanukuu
Nafuatilia movie tu taratibu hapa..nimevaa miwani ya 3D! Achana naye huyo, usiumize kichwa kabisa
Hilo pua kazi yake ni nzito sana..nikielezea hapa JF server zote zinaweza kuzima.
Mimi siyo msemaji wake..tuendelee wote kufuatilia maamuzi yake!
Kwa hapo huna haja ya kuniwekea limbwata! Mwali unatural wake ndio unanichanganya lakini!tatizo lako ushungi wa mwali unakudatisha.
Huoni mie hilo lemba hapo kichwani?
Afu na wewe ntakuwa nakupa siku moja moja unagonga TBS chakula cha mtoto kama huyo mwenzio
Hapo ni hekima na busara zimejaa tele. Halafu mafaranga yapo ya kutosha. Ngoja nipumzike dia..baadaye!afu unajua upara huo unaelezea some theories
ngoja nikajisomee afu kesho ntaeleza kwa ufupi ili nisichoshe seva.