Sivielewi vipindi hivi vya EATV

Sivielewi vipindi hivi vya EATV

Molembe

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2012
Posts
9,932
Reaction score
11,851
Kuna vipindi viwili Eatv diary ya Lady jaydee na In my shoes ya Wema Sepetu nimejaribu kuangalia vipindi nimeshindwa kuelewa lengo lake hasa ni lipi sioni vinatoa elimu yoyote kwa jamii.
 
Kuna vipindi viwili Eatv diary ya Lady jaydee na In my shoes ya Wema Sepetu nimejaribu kuangalia vipindi nimeshindwa kuelewa lengo lake hasa ni lipi sioni vinatoa elimu yoyote kwa jamii.
kazi ya sanaa ni nini? utapata jibu hapo.
 
Kuna vipindi viwili Eatv diary ya Lady jaydee na In my shoes ya Wema Sepetu nimejaribu kuangalia vipindi nimeshindwa kuelewa lengo lake hasa ni lipi sioni vinatoa elimu yoyote kwa jamii.
Wanataka kutuonyesha wanavoishi maisha yao ya hali ya juu
 
Hili tatizo lipo nje ya uwezo wetu vuta subira huku tukiendelea kulitafutia uvumbuzi! Asante kwa kuichangua IPP Media
 
East Africa Television Is an entertainment Tv Channel so Hivyo ulivyovi mention ni part of Entertainment!
kama vipi LIKE Niku ADD
 
Last edited by a moderator:
Wanataka kutuonyesha wanavoishi maisha yao ya hali ya juu
Pia ni sehemu ya EATV kujiingizia kipato na kuiwezesha serikali kukusanya kodi maana washabiki wao wataangalia hivyo wadhamini wa kipiti wanapata mileage ya kutosha
 
Vipindi vibovu kabisa tukibobea kwenye vipindi vya kenya;hao hao wataanza kulalamika watanzania hawapendi vitu vya kwao!
 
Ni burudani mkuu kuona watu wakiendesha magari yao wengine hatuna wakila hoteli nzuri kama unalipia king'amuzi ni sawa na vile vya marekani cha Keeping up with Kardashians au Ice loves coco au The real wifes of Atlanta
 
ile ni tv ya kibiashara ukiwa na wazo lako la kipindi wanakupa airtime na baadae kipindi kikipata wadhamini unaanza kukunja hela
 
Jay Dee anaifundisha jamii namna yakupika Mlenda.

WEMA anafundisha wanaume domo zege namna kumtokea demu.
 
Back
Top Bottom