Mbabaishaji
Member
- Nov 13, 2018
- 70
- 129
Wabongo wanafiki sana, maana asilimia 70% ya wanamuziki na waigizaji wanaiunga mkono serikali iliyoko madarakana.
Lkn pia viongozi wa dini karibu zote wanaiunga mkono serikali na hakuna aliyewahi kusimama na kukemea unyanyasaji ufanyikao zaidi ya viongozi wacheche( tena wa kuhesabika), lkn bado tunawaona viongozi hao wanabusara na tunawaunga mkono tu.
Tuache Ujinga
Lkn pia viongozi wa dini karibu zote wanaiunga mkono serikali na hakuna aliyewahi kusimama na kukemea unyanyasaji ufanyikao zaidi ya viongozi wacheche( tena wa kuhesabika), lkn bado tunawaona viongozi hao wanabusara na tunawaunga mkono tu.
Tuache Ujinga