Sitta: Warioba amejitakia mwenyewe


Rais yupi? Propesa JK? utasubiri sana
 
Daniel alikuwa kiongozi wa kidini na mwanasiasa, Jesus alikuwa nabii na mkosoaji mkuu wa serikali hata wakati mwingine alimwita mfalme "MBWEHA", yohana alifika mahali akamkosoa mfalme kuoa mke wa kaka yake.
NI DINI GANI UNAYOIFAHAMU WEWE INAYOJITENGA NA SIASA?
 
Sitta akifa nitajitolea kuipeleka maiti yake ziwa victoria ikaliwe na mamba!!!!!
 
..subiri siku,hakika Sita na wanafiki wenzako kama mama megji tunawaombea mfe kifo cha mateso
 
Sitta ni mtu mbaya sana kuwahi kutokea ktk nchi hii.
 
Huyu sista ni hajielewi, hakuna hata mmoja aliyewakataza kuandaa midahalo kwa ajili ya katiba yao ya CCM, na wao waende wakaandae hiyo midahalo ya kwao, aache kuwafanya watanzania mbumbuzi
 
Sita.....sitakiiiiii!!!!

Ni mmoja wa wazee wachache katika tasnia ya siasa za nchi hii ambaye hakubahatika kujaliwa busara hata tone.... Kingunge amempiku kwa mbaaaali. Huyu hata kuwa kiongozi wa kimila wa kuongoza mitambiko hafai. Vyeo alivyopata ni bahati tu na vinamharibu ukimpa zaidi ya hapo atamtukana Mungu na atapiga marufuku kwenda ibadani kkusali na kuwataka watu wamwabudu yeye kwa kuwa ni Mungu!!!!
 
Huyu sista ni hajielewi, hakuna hata mmoja aliyewakataza kuandaa midahalo kwa ajili ya katiba yao ya CCM, na wao waende wakaandae hiyo midahalo ya kwao, aache kuwafanya watanzania mbumbuzi
ukishangaa ya Musa utayaona ya huyu Firauni!!!!
 


Kama kweli wananchi wengi wanaiunga mkono,kwanini askari walimwagwa kuzunguka Bunge wakati wa utungaji wake. Ile ilikuwa ni ishara tosha kuwa wananchi hawakuridhika na mchakato wa bunge maalum la lakatiba. Na bila polisi kuwekwa barabarani hakika watu wangemfuata palepale Bungeni na kumpiga viboko. yeye Sitta ashukuru kuwa polisiccm walimlinda na si vinginevyo. katiba inajulikana imetungwakwa mtutu wa bunduki nashangaa jana kwanini hao polisi hawakuweka ulinzi kama sio njama. katiba ni mali ya wananchi na si watawala.
 
mjina wenyewe unatokana na chapa ya namba ya kishetani, chapa ya kifisadi, chapa ya mnyama chapa ya 666, ni jina la kishetani kama ilivyo sura yake.
 
kumbe kupigana kumo!ohoooo ngoja sasa nitayarishe panga
 
Kwa mtazamo wangu, kitendo cha Sitta kutia neno katika hilo ni kosa kimkakati. Kwa wanaoona kwa jicho makini wanaelewa jinsi kipindi hiki kilivyo kigumu kwa majaaliwa na hatima ya nchi yetu. Ni bahati mbaya kwa viongozi wetu wakiwemo waandamizi kama Sitta kujisahau na kushindwa kupima athari ya maneno yake kama Mtanzania aliyekuwa Mwenyekiti wa BMK ambalo limeacha manung'uniko kwa baadhi ya Watanzania.
 
kwani sita yeye analipizuri zaidi ya tamaa, watu kama mzee warioba ambao wamejitokeza kutufunulia kilichomo wanawafanyia fitina, anataka watu wawe wajinga tu....!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…