Sitta Rais, Dr Slaa Waziri Mkuu, 2015

vipi kuhusu kuyumbayumba kwake,mbona hugusii hilo?vipi u-ccj wake.pole kama bado unaona kiongozi bora ndani ya ccm.
 
Maarifa ya Sitta kwenye siasa ni makubwa ukilinganisha na ya Dr. slaa
Ndio maana nchi haiendelei, tumekuwa tukiongozwa na watu wenye ubingwa wa kupiga siasa


Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Dr Slaa hakuwahi kuwaza urais kipindi hicho hadi aliposhtukizwa akiwa tayari amechukua fomu za ubunge.
Sasa mtoa mada mtu ambae alikuwa hata wazo hana atatoa wapi wazo la kumuachia Sitta?

Dr Slaa hana tamaa
 
Wadau,
Sitta ni nguli wa siasa na yuko vizuri sana. Dr. Slaa analijua hili.
Alitamani sana kumpa Sitta nafasi yake 2010...

Kwa hiyo wewe uko kwenye kambi ya Sitta..

Tunawasubiri wa kambi ya Mende..

Kambi ya Lowassa yuko Pasco.. Anawakilisha..

Mtauana decade hii..
 
Last edited by a moderator:
Wadau,
Sitta ni nguli wa siasa na yuko vizuri sana. Dr. Slaa analijua hili.
Alitamani sana kumpa Sitta nafasi yake 2010...

Hilo halina ubishi, anajua fitina za kulipa kisasi kama alivyomfanyia mtimanyongo LOWASSA na kumng'oa - na baadaye kusema hakutegemea kama jamaa angejiuzulu!..

Ni shujaa wa kuzima hoja zenye maslahi kwa TAIFA, ishu ya RICHMOND na DOWANS yanaendelea kulitesa taifa kwasababu yake.

Kwa sura mimi sijui kama ni handsamu, maana naona dalili ya kung'ata ndimu vile?
 
Dr Slaa hakuwahi kuwaza urais kipindi hicho hadi aliposhtukizwa akiwa tayari amechukua fomu za ubunge.
Sasa mtoa mada mtu ambae alikuwa hata wazo hana atatoa wapi wazo la kumuachia Sitta?

Dr Slaa hana tamaa

Dr. Slaa anajua mengi sana juu ya uhodari wa Sitta! alitamani sana awe Spika kwa tiketi ya CDM..
 
Alicharazwa bakora na nyerere baada ya kuongoza mgomo udsm. Huyu jamaa hatari.
 
Duh,gahfla tu imekuwa hivi?kwanini Sitta na si Dr.Slaa au candidate mwingine atakayekuwa nominated through democratic process? To me,Dr.Slaa is still the best

He is an outstanding leader; he's very tough, knowledgeable, focused and has a clear vision.
inaonesha mna watu eeh hiyo ni dekrasia?? kwa mtu anaejali demokrasia hawezi kupredict wazi namna hiyo vp kuhusu ZZK??
 
wana jf natamani sitta angegombea urais kupitia chadema 2015 awe rais halafu dr slaa akagombee ubunge ateuliwe kuwa pm. Mawaziri akina mwakyembe, ole sndeka, kilango, mnyika, mdee, lissu nk. Nadhani hiyo timu ingefanikiwa sana.

Sitta na dr ni watu wakali, wanaichukia rushwa, wana busara na ni waadilifu.

Ukimwangalia sitta na ukirudi ukimwangalia dr slaa, unauona unyerere ndani yao. Pamoja na hawa mabwana kuwa na maadui wengi, ulishawahi kusikia wanatuhumiwa au kuzushiwa rushwa? Hawa maadui wangekuwa hata na chembe ya ushahidi wa rushwa wangeutumia.

Waulizeni watu wanaotokea hanang au urambo na pia chunguza mwenyewe utagundua hawa mabwana ni kati ya rare breeds zilizobaki tz.
mtu mnafiki kama sitta hawezi kugombea urais kwa tiketi ya ccm
 
Wana JF natamani Sitta angegombea urais kupitia Chadema 2015 awe Rais halafu Dr Slaa akagombee ubunge ateuliwe kuwa PM. Mawaziri akina mwakyembe, Ole Sndeka, Kilango, Mnyika, Mdee, Lissu nk. Nadhani hiyo timu ingefanikiwa sana.

Sitta na Dr ni watu wakali, wanaichukia rushwa, wana busara na ni waadilifu.

Ukimwangalia Sitta na ukirudi ukimwangalia Dr Slaa, unauona unyerere ndani yao. Pamoja na hawa mabwana kuwa na maadui wengi, ulishawahi kusikia wanatuhumiwa au kuzushiwa rushwa? Hawa maadui wangekuwa hata na chembe ya ushahidi wa rushwa wangeutumia.

Waulizeni watu wanaotokea Hanang au Urambo na pia chunguza mwenyewe utagundua hawa mabwana ni kati ya rare breeds zilizobaki Tz.

huyo kilango labda awe waziri wa tangawizi hafiti kwenye timu ya jk atafit kwenye timu ya kocha makini?
 
Jamani jadilini mambo haya vizuri kwa mustakabali mwema wa Taifa letu, ama la! 2015 mtachagua mtu kwa imani ya dini yake!! EEH MANANI TUEPUSHE WA-TZ NA UDINI HUU.
 
Mimi binafsi nawakubali wote wawili -- Sitta na Slaa. Yeyote kati yao akiwa Rais nina uhakika Tanzania itakuwa tofauti kabisa. Hawa watalinda raslimali za nchi yetu kwa manufaa ya Watanzania wote. Watakata mirija yote ya unyonyaji.

Sitta ni mnafiki, alipokuwa Spika tu alijitwalia ufalme wa kuzipa nyumba zake ndogo magari ya bunge na kukomadia nyumba ya bei mbaya kule Masaki; je akiwa Rais si ndio atafanya vituko!!! Dr. Slaa pekee anafaa.
 
Wana JF natamani Sitta angegombea urais kupitia Chadema 2015 awe Rais halafu Dr Slaa akagombee ubunge ateuliwe kuwa PM. Mawaziri akina mwakyembe, Ole Sndeka, Kilango, Mnyika, Mdee, Lissu nk. Nadhani hiyo timu ingefanikiwa sana.

Sitta na Dr ni watu wakali, wanaichukia rushwa, wana busara na ni waadilifu.

Ukimwangalia Sitta na ukirudi ukimwangalia Dr Slaa, unauona unyerere ndani yao. Pamoja na hawa mabwana kuwa na maadui wengi, ulishawahi kusikia wanatuhumiwa au kuzushiwa rushwa? Hawa maadui wangekuwa hata na chembe ya ushahidi wa rushwa wangeutumia.

Waulizeni watu wanaotokea Hanang au Urambo na pia chunguza mwenyewe utagundua hawa mabwana ni kati ya rare breeds zilizobaki Tz.
chachu kidogo uchachua donge zima, hapo umechemsha
 
Back
Top Bottom